Tanzania ni kama wameiaga demokrasia, upinzani Chadema wasusia uchaguzi huku wakilalamikia uhuni wa serikali

Mtu hafuati taratibu, kanuni na sheria unataka aachwe ili iweje?
Kama hamjifunzagi kutokana na makosa, 2020 mtazikwa maana hata hao wachache wanaositasita kuwaunga mkono watabadili gia angani.
Kuzikwa kupo ikiwa muhusika hatafuata maelekezo.Ninachokuambia hapa ni kwamba uhuni umefanyika kwenye uchukuaji na urudishaji wa fomu za vyama vya upinzani.CCM wamepewa favour, haiwezekani pingamizi na makosa mengi yatokee kwa wapinzani tu wakati tunaishi kwenye mazingira yaleyale japo tunapishana uelewa kidogo...
 
Pambaneni na siasa zenu za kikabila 😂😂😂 ona hii video mnavyopigana mawe tena kwenye uchaguzi Mdogo tu.




Hadi raha, nchi mkiishi kiuwoga uwoga mnaliwa hadi mifupa, yaani huwa napata raha sana kwa jinsi Wakenya huwa tumechangamka, ukija kuchezea demokrasia yetu lazima utembelee kichapo maana hatukuipata kiulaini laini.
 
Ambao hamko ndanî ya Tanzania, mkisoma mitandao ya kijamii ambayo upinzani wmeamua kwekeza nguvu nyìngi badala ya kuwekeza kwenye mitaa halisi unaweza sema tz kuna tatizo.
Njoo field ujionee, rais ana sapoti kubwa sana ya wananchi. Ila humu jf wengi ni upinzni ambao kuihalisia hawafiki laki 5.
Kwani walio mitandaoni si ni wananchi wale wale ?!!.
 
Wapinzani ni kwaajili ya kutafuta mtu na uongozi sahihi kwasasa tunaye MTU sahihi
Kwa hiyo UK na America bado hawajampata mtu sahihi pamoja na mataifa mengine duniani bado hayajapata watu sahihi wa kutawala ndiyo maana wana upinzani?
Hongera Tanzania kivunja rekodi ya dunia na ingekuwa nchi pekee duniani kumpata mtu sahihi
 
Wapinzani nchini ni kama magaidi, sijawahi ona upinzani wa hovyo na wa kishamba kama wa Tanzania, wao kuside na watu wanaotaka kuliangamiza Taifa ni kawaida na ndio maana wapinzani Tanzania hawapendwi.
Hamjawahi kukutana na upinzani. Wapinzani wa Tanzania ni wapole sana huwezi kuwafananisha na wapinzani wengine duniani
 
Ambao hamko ndanî ya Tanzania, mkisoma mitandao ya kijamii ambayo upinzani wmeamua kwekeza nguvu nyìngi badala ya kuwekeza kwenye mitaa halisi unaweza sema tz kuna tatizo.
Njoo field ujionee, rais ana sapoti kubwa sana ya wananchi. Ila humu jf wengi ni upinzni ambao kuihalisia hawafiki laki 5.
Siyo kweli ni % ndogo sana ya wanufaika kama wewe na ambao wale wachache wanaolipwa kuienzi serikali ya dikteta jiwe
 
Yeah ni kweli, upinzani wa kipindi hichi wanakwama vibaya mnoo,
Kipindi cha JK walisema wanataka Rais awe mkali apambane na mafisadi na kunyoosha nchi, sasa hivi wameletewa Rais mkali hawamtaki tena kazi yao imebaki ni kupinga pinga kila kitu, na kuandika maujinga kwenye mitandao ya kijamii,
Mimi niko upinzani na kadi yao ya chama ninayo lakini kipindi hiki nishaachana nao kutokana na siasa zao zisizoeleweka kipindi hichi,
Wao ni kuangalia tu ni nini kipo kwenye trending ili waende nayo ili wapate kiki,
Sometimes wanachukua picha za matatizo ya nchi nyingine alafu wanaanza kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii wakisema eti ni Tanzania
Huyu raisi anaechagua yeye mwenyewe ni mwizi kwa hiyo anachagua nani anaruhusiwa kuiba na nani anyang'anywe alichonacho? Na pia siku hizi imeanzishwa biashara mpya, unawekwa ndani kwa kesi ya uhujumu uchumi kesi haisikilizwi Kia siku inatajwa halafu haina dhamana baada ya muda unauziwa uhuru wako utoe milioni kadhaa uachiwe huru. Hii ni biashara mpya alionzisha dikteta jiwe
 
You people kutoka ke kwa sasa tz hatuhitaji upinzani hadi 2025 kama watakuwa na sera mbadala labda tutawafikiria. Ila kwa sasa magufuli is doing the best of best, hana wa kufanana naye hivyo wapinzani wamekosa hoja wana piga makelele tu, inshort wanaongozwa n yule shoga aliyeko belgium
Tangu tupate uhuru hamna mfano kuna vitu ambavyo hatukutegemea kutokea nchini, utekaji mauaji kuwekwa ndani kwa kesi zisizoeleweka kwa wapinzani wake kukandamiza demokrasi na mengine mengi ya kishetani huoni hayo ni makubwa sana na hayajawahi kutokea?
 
Mtu wa chadema kama wewe unaniambia huu upuuzi unataka nikuelewe? Inakuaje wa vyama vingine vya upinzani wafanikiwe ila wengi wa chadem ndio waone milango imefungwa?
Afadhali kuwa na mavi kichwani kuliko kuwa mfuasi wa chadema hii, haina mfano hata jinsi ilivyo pwaya.
Wengine siyo tishio
 
Sio wapinzani, bali wananchi ndio kama kondooo!! Hongereni sana nyie, kwani hata mpinzani ukiwa mkaidi lakini unao watetea ni wajinga kama kondoo hutafika mbali!! Na mtaji wa watawala ni uoga naujinga wa wananchi.
vyama vya upinzani na hata wananchi wa tanzania si wajinga eti kwa sababu tu hawafanyi vurugu au kuuawana kwa kutofautiana kisiasa bali wanaonyesha ni watu waliostaarabika sana ni ujinga tulio nao ndo tunauoona huo ni ukondoo wakenya walipoteza ndg zao kwenye vurugu wana makovu makubwa sana yasio ponyeka moyoni kwa handshake ya Uhuru na Odinga kuongea kwetu kuonyesha tusiporidhika kama wanavyofanya chadema kumeokoa amisha ya wengu kuliko kutaka usitake mwingine afanye unachokiwaza kwa niaba yako fanya wewe kuongoza njia ili wengine waone usivyo kondoo
 
Hamjawahi kukutana na upinzani. Wapinzani wa Tanzania ni wapole sana huwezi kuwafananisha na wapinzani wengine duniani
Tatizo sio upinzani, tatizo ni aina ipi ya upinzani! Kwa upinzani huu tulionao Tanzania ni Bora CCM itawale milele.
 
Kama anapendwa wapinzaji wapewe nafasi ya kufanya mikutano na wananchi kama ilivyo kwa CCM tuone nani anapendwa zaidi, kwa hali ilivyo kwa sasa huwezi jua nani anapendwa zaidi, usisahau pia ile biashara ya kupakia watu kwenye malori kwenda kwenye mikutano
Ambao hamko ndanî ya Tanzania, mkisoma mitandao ya kijamii ambayo upinzani wmeamua kwekeza nguvu nyìngi badala ya kuwekeza kwenye mitaa halisi unaweza sema tz kuna tatizo.
Njoo field ujionee, rais ana sapoti kubwa sana ya wananchi. Ila humu jf wengi ni upinzni ambao kuihalisia hawafiki laki 5.
 
Hadi raha, nchi mkiishi kiuwoga uwoga mnaliwa hadi mifupa, yaani huwa napata raha sana kwa jinsi Wakenya huwa tumechangamka, ukija kuchezea demokrasia yetu lazima utembelee kichapo maana hatukuipata kiulaini laini.
Hivi huwa unafikiria unachoandika au unandika tu,
Huo uchangamfu mbona haujawaondolea chochote zaidi ya kuendelea kudidimia,
Mbona msiende kuchangamsha serikali irudishe ajira angalau unemployment rate ipungue,
Uchangamfu ndio siasa za kikabila 😂😂😂
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Huyu raisi anaechagua yeye mwenyewe ni mwizi kwa hiyo anachagua nani anaruhusiwa kuiba na nani anyang'anywe alichonacho? Na pia siku hizi imeanzishwa biashara mpya, unawekwa ndani kwa kesi ya uhujumu uchumi kesi haisikilizwi Kia siku inatajwa halafu haina dhamana baada ya muda unauziwa uhuru wako utoe milioni kadhaa uachiwe huru. Hii ni biashara mpya alionzisha dikteta jiwe
Nenda mahakamani kamshitaki.
 
Back
Top Bottom