Tanzania nchi yenye bei rahisi ya data

Mbaga Lazaro

Senior Member
Aug 9, 2020
132
107
"Bado nchi yetu ndio ina bei rahisi ya Data kwa GB kuliko nchi yoyote ya East Africa...SADC, kwa kuwa na gharama ya GB 0.71 kwa Dola ambayo ni sawasawa na shilingi 1600/=". Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania - Dkt.Jabiri Kuwe Bakari

#ITVUpdates
 
Kwakuwa nchi zingine wanapandisha bei basi na huku wanapandisha ..

Sababu ni kuwa eti nchi zingine ni bei juu
 
Kila siku nyimbo hiyo hiyo,nimetoka kununua gb 1 hapa kwa afu tatu😭😭,halafu eti bei rahisi
 
Tatizo kila mtu ana bei yake, voda au tigo hiyohiyo huyu atapewa Gb 1 kwa buku tatu na mwingine kwa buku mbili.
 
"Bado nchi yetu ndio ina bei rahisi ya Data kwa GB kuliko nchi yoyote ya East Africa...SADC, kwa kuwa na gharama ya GB 0.71 kwa Dola ambayo ni sawasawa na shilingi 1600/=". Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania - Dkt.Jabiri Kuwe Bakari

Chanzo: ITV
 
167429592_2963558237259792_2291456541171894576_n.jpg
 
"Bado nchi yetu ndio ina bei rahisi ya Data kwa GB kuliko nchi yoyote ya East Africa...SADC, kwa kuwa na gharama ya GB 0.71 kwa Dola ambayo ni sawasawa na shilingi 1600/=". Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania - Dkt.Jabiri Kuwe Bakari

#ITVUpdates
Tujitahidi ili tuwafikie hao wenye bei kubwa.watu wakishaashiba kodi zetu huwa hawana aibu kabisa
 
"Bado nchi yetu ndio ina bei rahisi ya Data kwa GB kuliko nchi yoyote ya East Africa...SADC, kwa kuwa na gharama ya GB 0.71 kwa Dola ambayo ni sawasawa na shilingi 1600/=". Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania - Dkt.Jabiri Kuwe Bakari

#ITVUpdates
Izidi kushuka, kuna ubaya?
 
Back
Top Bottom