Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
Spika amesema hotuba inaanza saa 6.kamili saa za Afrika Mashariki.
wacha wee... muda unawakimbia wameshtuka late kuwa hotubayao ishavuja JF..... hawana ujanja lazma wasogeze muda.... na bado tunakaba mpaka penati