hata akivunja bunge na uchaguzi kurudiwa bada atakuwa rais tu, mimi nitampigia kura. Hakuna rais mmbadala dhidi yake tz.
Na hilo haliwezi kutokea!
Hata akivunja bunge na uchaguzi kurudiwa bada atakuwa rais tu, mimi nitampigia kura. Hakuna rais mmbadala dhidi yake Tz.
Na hilo haliwezi kutokea!
kesho kisura,hatajaribu kujibu mashambulizi dhidi ya serikali yake kwa wale wote wanaoipaka matope juu ya ufisadi,na hivyo kuhitimisha mjadala yote ambayo iliundiwa tume.Hapo ndipo utakuwa mwisho wa mjadala ndani ya bunge na nje ya bunge.
Mwisho atawaomba watanzania wajishughulishe na mambo yanayo waletea maendeleo na kuachana na malumbano ambayo yanawapotezea muda.pia atalishukuru bunge kwa kuwa msitari wa mbele ktk kuikosoa serikali.
Wabunge watashangilia sana kisha baada ya hotuba kwisha watatoka wakisemezana pembeni.
Kisha CCM wataanda maandamano nchi nzima kuhunga mkono hotuba ya raisi.2008 ndio itakuwa imekwisha na watu wataanza kujiandaa na uchaguzi.
jina
Wapenda nchi, lets give him benefit of doubt. Lakini kwa kweli uvumilivu una mwisho. Iwapo hakuna jambo 'tangible' hotuba tupu ni lazima ikemewe na wote wapenda nchi hii kwa ukali wote unaostahili. Ni vema wapambe wake kama wako humu, wamfikishie ujumbe huu mapema, bado ana masaa ya kufanyia hotuba yake modification, japo sina hakika kama anao tena masaa ya kuchukua hatua. Tired of empty words! Taarifa zote tulizonazo zinatosheleza kwa hatua hivyo, hakuna sababu ya kisingizio chochote kwa sababu yeyote ile. EPA, Twin Tower, Ufisadi ndani ya Debt Conversion Scheme ( na hapa siongelei madeni), ufisadi ndani ya CIS (Commodity Import Support), maswala yote ya TANGOLD, MWananchi Gold Company, Meremeta, Deep Green Finance Company Ltd na mengine mengi. Hatuwezi kuendelea kuwa na Serikali isiyo na meno, hata kama inauma, ukweli lazima usemwe, na uchukuliwe hatua. Dhamira njema itajulikana tu kwa hatua dhabiti. Nchi Sovereign, haiwezi kuachia Investigations zake kufanywa na SFO (ambao wanafanya upelelezi kwa mujibu wa Sheria za Uingereza)! This is mockery of democracy. Kama nilivyosema, ninampa Mhe. Rais Benefit of Doubt, lakini Expectations are very high, and ought to be met! It is the minimum I and all those who wish this country well expect.
MKJJ,
Nashukuru kwa maoni mazuri.
1) Kesho JK anahutubia tu as a matter of formality. Hakuna maswali wala hakuna kumwuliza maswali. Utmost, tunachoweza kwa mujibu wa Kanuni ni kuomba kujadiliwa kwa Hotuba hiyo ya Rais, lakini si kuomba Repoti yeyote kama ya EPA etc.
2) IGP, TAKUKURU na Mwanyika wanaweza kuitwa iwapo Taarifa yao itawasilishwa Bungeni, na Kamati inayochambua Taarifa yao inayo mamlaka ya kuwaita, lakini si vinginevyo. Wanaweza kuitwa katika capacity zao lakini si kama Kamati ya Rais....The only opening ni pale Taarifa yao itakapokuwa "Tabled", na wakubwa hawa mara nyingi wametumia kisingizio kuwa aliyeunda Kamati ni Rais na hivyo Taarifa hiyo ni ya Rais siyo ya Bunge...
Today, this man is deciding his own fate
Spika amesema hotuba inaanza saa 6.kamili saa za Afrika Mashariki.