The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Hakuna taarifa mbaya Tanzania tunakosekana. Kwenye uchawi tupo, kuzaana hovyo tupo, kuamini Ushirikina tupo, bangi tumo.
My Take: Serikali halalisheni Bangi ilimwe kibiashara
My Take: Serikali halalisheni Bangi ilimwe kibiashara
Tanzania yashika nafasi ya 5 kwa uvutaji bangi barani Afrika
Hii ni kwa Mujibu wa Swahili Times , sasa bado hatujaelewa kama hii ni sifa , heshima au Mkosi . Wachunguzi wanasema kwamba hii nchi iliyoshika nafasi ya 5 kwa kuvuta bangi ni miongoni mwa nchi ambazo zimepiga marufuku uvutaji wa bangi , kwa vile bangi kwenye nchi hii inatajwa kama ni madawa ya...
www.jamiiforums.com