Tanzania na huko Zambia wananchi bado wanasumbuliwa na ugonjwa unaotokana na uchafu

Joenh

Member
Oct 6, 2015
42
46
Ni jambo la kuhuzunisha na la aibu kuona kwa karne hii ambayo maendeleo ya elimu na teknolojia yamekua kwa kiasi kikubwa sana.

Lakini bado nchi kama yetu Tanzania na huko Zambia wananchi bado wanasumbuliwa na ugonjwa unaotokana na uchafu. Usafi ni ishara mojawapo ya ustarabu wa mwanadamu.

Kama bado tunasumbuliwa na uchafu maanake ustarabu wetu bado upo chini. Wizara ya elimu iitazame hili kwa jicho la tatu.

Ubora wa elimu, manufaa ya elimu kwa jamii ionekane ilete tija na kutatua changamoto.
 
Cape Verde imekua moja ya nchi hapa Africa iliyotokomeza malaria!!,ule mradi wetu wa kutoka Japan kutokomeza malaria nchini, pesa ile imejenga mahekalu, sio wote waliosahau, muda utafika tu
 
Cape Verde imekua moja ya nchi hapa Africa iliyotokomeza malaria!!,ule mradi wetu wa kutoka Japan kutokomeza malaria nchini, pesa ile imejenga mahekalu, sio wote waliosahau, muda utafika tu
Wazee wa kupiga dili
Ngoja tulambe asali sisi wazee
 
Back
Top Bottom