ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,393
- 5,243
Ugonjwa wa kipindu pindu unazidi kuuwa watu wengi huku kanda ya ziwa
Ni aibu kwa zama hizi jamii kukumbwa na ugonjwa wa uchafu kama kipindupindu.
Watu wanashindwa kuzingatia usafi wa mikono na chakula
Ukifika mikoa kama Mwanza na Dar es Salaam utashangaa uuzaji wa ovyo ovyo wa vyakula, mama mantilie hawaoshi vyombo kwa usahihi na kwa maji moto, kuna inzi kila sehemu
Watu wanakula mandazi na vitumbua vilivyomwagwa ovyo na nzi wameyazingira sokoni
Hali ya vyoo na maji ya kunywa ni mbaya.
Wananchi wameamua uchafu kuwa sehemu yao
Serikali ikiwafukuza mama ntilie wasiozingatia afya za wateja, watu wataanza kulalama
Hivi serikali ije ikukumbushe kunawa mikono, kutawaza, kula chakula kisafi kweli
Hii jamii inayoteswa na Kipindupindu itaweza kweli kuwaza mambo ya viwanda, biashara, technology
Serikali inatoa elimu bure watu wanasoma bado jamii inakumbwa na Kipindupindu
Tichukue hatua sote, tudhibiti hili gonjwa la ovyo na la aibu kwa zama hizi la Kipindupindu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aibu kwa zama hizi jamii kukumbwa na ugonjwa wa uchafu kama kipindupindu.
Watu wanashindwa kuzingatia usafi wa mikono na chakula
Ukifika mikoa kama Mwanza na Dar es Salaam utashangaa uuzaji wa ovyo ovyo wa vyakula, mama mantilie hawaoshi vyombo kwa usahihi na kwa maji moto, kuna inzi kila sehemu
Watu wanakula mandazi na vitumbua vilivyomwagwa ovyo na nzi wameyazingira sokoni
Hali ya vyoo na maji ya kunywa ni mbaya.
Wananchi wameamua uchafu kuwa sehemu yao
Serikali ikiwafukuza mama ntilie wasiozingatia afya za wateja, watu wataanza kulalama
Hivi serikali ije ikukumbushe kunawa mikono, kutawaza, kula chakula kisafi kweli
Hii jamii inayoteswa na Kipindupindu itaweza kweli kuwaza mambo ya viwanda, biashara, technology
Serikali inatoa elimu bure watu wanasoma bado jamii inakumbwa na Kipindupindu
Tichukue hatua sote, tudhibiti hili gonjwa la ovyo na la aibu kwa zama hizi la Kipindupindu
Sent using Jamii Forums mobile app