MwajabuOmary
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 236
- 209
Kumekuwepo na mjadala mkali juu ya kutaka kujua watanzania tuko awamu ya sita au bado tuko awamu ya tano?
Mtanzania mwenzetu Ndugu Polepole ametanabaisha kwamba tuko awmu ya tano(5) bado.
Watanzania walio wengi wameaminishwa kwamba tuko awamu ya sita (6)
Nimejaribu kutafakari kwa kupitia hoja za pande zote mbili bado sijapata upande upi upo sahihi.
Ili kupata usahihi wa nani yuko sahihi tungejiuliza maswali yafuatayo:-
1. Ni kitu gani kinatabainisha kwamba hii ni awamu fulani:
Je, ni Uchaguzi Mkuu?
Je, ni Katiba ya Nchi?
Je, ni ilani ya CCM?
Je, ni mabadiliko ya uongozi wa JuNa
Najaribu kutafakari na huu ni mfano tu kwamba kwa uchaguzi uliofanyika mwaka jana kwanza ndani ya CCM kama ingekua fair katika uchaguzi wa ndani kwamba wanaccm wangeruhusiwa kuchukua fomu na mwana CCM mwingine angechukua nchi badala ya JPM. Je, tungeendelea kujinadi kwamba tuko awamu ya tano au ya sita?
kwaje, kwa mfano angeshinda Tundu Lisu tungesema tuko awamu ya sita au ya tano?
Ni tafakari yangu tu bandugu.
Nawakaribisha kwa mawazo na michango yenu.
Mtanzania mwenzetu Ndugu Polepole ametanabaisha kwamba tuko awmu ya tano(5) bado.
Watanzania walio wengi wameaminishwa kwamba tuko awamu ya sita (6)
Nimejaribu kutafakari kwa kupitia hoja za pande zote mbili bado sijapata upande upi upo sahihi.
Ili kupata usahihi wa nani yuko sahihi tungejiuliza maswali yafuatayo:-
1. Ni kitu gani kinatabainisha kwamba hii ni awamu fulani:
Je, ni Uchaguzi Mkuu?
Je, ni Katiba ya Nchi?
Je, ni ilani ya CCM?
Je, ni mabadiliko ya uongozi wa JuNa
Najaribu kutafakari na huu ni mfano tu kwamba kwa uchaguzi uliofanyika mwaka jana kwanza ndani ya CCM kama ingekua fair katika uchaguzi wa ndani kwamba wanaccm wangeruhusiwa kuchukua fomu na mwana CCM mwingine angechukua nchi badala ya JPM. Je, tungeendelea kujinadi kwamba tuko awamu ya tano au ya sita?
kwaje, kwa mfano angeshinda Tundu Lisu tungesema tuko awamu ya sita au ya tano?
Ni tafakari yangu tu bandugu.
Nawakaribisha kwa mawazo na michango yenu.