Tanzania miongoni mwa nchi ambazo wananchi hawafurahii maisha angalia orodha kamili

Mimi naona hata hiyo nafasi ya tatu toka mwisho tumependelewa. Ingefaa tuwe wa mwisho kabisa.
Huwezi kuwa na furaha kwa haya yanayoendelea sasa: utekwaji, kuvunjiwa nyumba/vibanda, kutokua na mzunguko wa hela mitaani, wafanyakazi kutopata stahiki zao/nyongeza ya mishahara takribani miaka mitatu mfululizo, fukuza fukuza watumishi na viongozi wa umma; hayo kwa uchache furaha itoke wapi?
 
IMG_20180112_171435.jpg
IMG_20180112_171008.jpg
IMG_20180112_170941.jpg
IMG_20180112_170914.jpg
Kwa sura kama hizi tutarajie ushindi kweli wa kuwa na furaha, hakuna kabisa asilani, lakini kwa kujikakamua hatujambo mtu unamwona kwenye defender pingu mkononi unamuuliza kulikoni anakuambia poa tu hakuna shida. Huwa tunateketea moyoni huku tukitabasamu
 
Mimi naona hata hiyo nafasi ya tatu toka mwisho tumependelewa. Ingefaa tuwe wa mwisho kabisa.
Huwezi kuwa na furaha kwa haya yanayoendelea sasa: utekwaji, kuvunjiwa nyumba/vibanda, kutokua na mzunguko wa hela mitaani, wafanyakazi kutopata stahiki zao/nyongeza ya mishahara takribani miaka mitatu mfululizo, fukuza fukuza watumishi na viongozi wa umma; hayo kwa uchache furaha itoke wapi?
Kolomije labda
 
Yaani Syria pamoja na kwamba haipo sehemu ambayo haijaguswa na bomu (zaidi ya ikulu tu) kumbe nao wametuzidi furaha. Ina maana tofauti yetu na walio vitani ni kwamba tu hatusikii mabomu na mizinga ila tuna kila hali ya mtu aliyeko vitani?
 
Hapana,huwa wanafuraha kwa wakati fulani,maana wametengenezewa mazingira ya kupewa shilingi miatano wakati wa kampeni.Ndiyo maana wanaojiita wasomi nchini Tanzania wengi wao huwa hawatumii akili kufikiri,bali hutumika tumbo.Ni jambo la kawaida hivi sasa msomi mzima anapindisha hoja kisa ameahidiwa hela.
 
Ulitegemea nini wakati kila mtu miaka 2 iliyopita alikuwa mpiga dili. Kila mtu, na Leo dili hamna kila mtu analia. Magu bana
 
Somalia Syria Iraq kote huko wana furaha ila sisi hakuna kitu kweli CCM nyoko kabisa
 
Back
Top Bottom