Hizi ramani zimechakachuliwa. Nilipokuwa primary school wakati wa enzi za ukoloni, ramani ya kwanza ya Tanganyika tuliyotumia darasani ilionyesha mpaka wa Tanganyika ukipita katikati ya Ziwa Nyasa.
na kwanini watu wanaachiwa kuzichapa hizi ramani feki........i mean pale pale nyumbani.......halafu zinauzwa mtaani watu wananunua tu........ukiingia hata ofisi ya Wizara ya Ardhi na cha ajabu hata ofisini kwa Membe niliiona hii ramani feki.............halafu huyu ndio anatuwakilisha kwenye mazungumzo........hivi umakini wetu uko wapi?.......