ThnkingAloud
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 232
- 180
TIBIM,
Nimetoa mfano wa Sangara kwa sababu wamekwishaonesha kwamba wanaweza kufugwa kibiashara mpaka biashara ya kimataifa. Tunahitaji samaki wanoweza kufugwa kibiashara. Kama mumi, ngege, ningu n.k. wanaweza kufugwa kibiashara basi tuwafuge kibiashara badala ya kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu ambaye alitupa akili za kupambana na mazingira yetu.
Nimetoa mfano wa Sangara kwa sababu wamekwishaonesha kwamba wanaweza kufugwa kibiashara mpaka biashara ya kimataifa. Tunahitaji samaki wanoweza kufugwa kibiashara. Kama mumi, ngege, ningu n.k. wanaweza kufugwa kibiashara basi tuwafuge kibiashara badala ya kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu ambaye alitupa akili za kupambana na mazingira yetu.