FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,392
- 4,468
Hawa Wachina nao sio Watu Wazuri.
Kwa nini wasituuzie ujuzi/elimu tufuge wenyewe?
Hii ni sawa na TBC kusaidiwa na China kutafsiri tamthilia zao badala ya kuomba Watu wetu wapewe ujuzi tutengeneze za kwetu.
Na tunakaa pembeni na kuona hii ni sawa tu.
Hao Wachina tunawaamini kiasi gani mpaka tuone kila kitu ni nia njema?
Kwa nini wasituuzie ujuzi/elimu tufuge wenyewe?
Hii ni sawa na TBC kusaidiwa na China kutafsiri tamthilia zao badala ya kuomba Watu wetu wapewe ujuzi tutengeneze za kwetu.
Na tunakaa pembeni na kuona hii ni sawa tu.
Hao Wachina tunawaamini kiasi gani mpaka tuone kila kitu ni nia njema?