BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Tumechelewa. Amechezea hukoooo Denmark akiwa na miaka 21 team ya taifa.Wazee wa michezo, huyu mwamba tunaanza kumdiscuss lini?
Mdigo anaewakilisha taifa la mama yake.
Damu yetu hii mbona hatuipi air time kwenye vyombo vyetu vya habari?
View attachment 1828404