Gwajima
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 253
- 406
Huwa tunamkejeli, yule ni gaidi tu.Hawa ulioweka ni mabilionea kwa viwanho vya dolari. Waziri kazungumzia mabilionea wa Watanzania kwa kiwango cha Shilingi za Tanzania. By the way, mbona huwa msema Freeman Mbowe ni bilionea! Au huwa mnamkejeli!?