Inasemekena Tz kuna Uranium na Iran anahitaji sana hiyo resource
Inaoenkana kila anayetaka kuwa Rais Tz ni muhimu kuwa karibu na Iran
......of all the countries!!!.....Iran!!.......give me a break!!......damn
Naamini Tanzania ni nchi isiyofungamana na nchi yoyote na tuna uhuru wa kuangalia lenye faida nasi, kama hiyo uranium mnunuzi atakuwa Iran basi tutamuuzia kwani ipo tofauti gani kati ya Iran na Marekani haizidi Marekani ameshauwa sana kuliko hao Wairani.