bornagain,
..political and social dynamics/factor on the ground zimebadilika sana tangu miaka ya 90, wakati hayo unayoyazungumzia yalipotokea.
..huruma na attention waliyokuwa wakipata wanyarwanda kutokana na genocide, sasa hivi imehamia kwa wananchi wa EASTERN CONGO.
..majuzi Obama amempigia simu Kagame na kumuonya kuhusu kujihusisha kwake na uasi nchini Congo. that is something that could never be imagined wakati wa Bill Clinton na Susan Rice era.
..suala lingine ni kwamba Kabila Jnr is ready to do business[kunyonywa/exploited] na mataifa makubwa. sasa ili DRC iweze kuwa exploited vizuri ni lazima kupatikane amani. nchi za magharibi na makampuni ya kimataifa haziwezi kuinyonya DRC huku kuna malalamiko ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.
..kwa msingi huo utaona kwamba Rwanda nao itabidi wajipange upya kutokana na kubadilika huko kwa mazingira ya siasa za kimataifa. ndiyo maana umeona wameweka saini yao ktk makubaliano yaliyopelekea kupelekwa kwa majeshi ya SADC[kupitia UN] DRC. vilevile majuzi umeona wame-stage ku-surrender kwa Bosco Ntaganda.
..Wanyarwanda wako smart, they care about their image and future, kwa hiyo hawawezi ku-subortage hii mission ya amani ya SADC/UN.
NB:
..Tanzania siyo DRC. Tuna heshima yetu hapa Afrika Mashariki, and beyond. Rwanda wakitushambulia maana yake ni kwamba wako tayari kuwa isolated kiuchumi na kisiasa.