Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,703
Kufuatiwa mgogoro wa DRC/Congo dhidi ya M23 ambao umepelekea nchi wanachama wa Africa mashariki kupeleka vikosi vyake kupambana na kundi hilo la kiasi ambalo DRC inaishutumu Rwanda kulisupport kifedha, kiinteligencia na kijeshi.
Mpaka sasa nchi 5 kati ya 7 zimepeleka majeshi yake DRC /Nchi zote kasoro Tanzania na Rwanda ambayo imekataliwa isipeleke majeshi nchini humo.
Nchi zilizopeleka majeshi
1.Burundi
2.South Sudan
3.Kenya
4.Uganda
Nchi ambazo hazijapeleka
1.Tanzania
2.Rwanda (Imekataliwa)
Nini kinazuia Nchi hii kubwa kupeleka majeshi yake huko?
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
BURUNDI KUPELEKA WANAJESHI 100 DRC
Nchi ya Burundi imepeleka wanajeshi wake nchini DRC kwa ajili ya kukabiliana na mzozo wa waasi wa m23
Majeshi hayo ya burundi yanategemewa kwenda kuweka kambi maeneo ya Kitshanga na Kilorirwe.
SWALI LA KUJIULIZA ??
Kwanini maeneo hayo na si karibu na Goma au mpakani mwa Rwanda na Kongo.
Imefanya hivo kuepuka kushambuliwa na jeshi la Rwanda kwa mwavuli wa M23. Ikumbukwe kwamba Majeshi ya rwanda na Burundi hayapatani kutokana na tofauti za kisiasa na utawala. Rwanda inaongozwa na chama cha kitutsi wakati Burundi inaongozwa na chama cha Kihutu.
View attachment 2541035
View attachment 2541036
Mpaka sasa nchi 5 kati ya 7 zimepeleka majeshi yake DRC /Nchi zote kasoro Tanzania na Rwanda ambayo imekataliwa isipeleke majeshi nchini humo.
Nchi zilizopeleka majeshi
1.Burundi
2.South Sudan
3.Kenya
4.Uganda
Nchi ambazo hazijapeleka
1.Tanzania
2.Rwanda (Imekataliwa)
Nini kinazuia Nchi hii kubwa kupeleka majeshi yake huko?
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
BURUNDI KUPELEKA WANAJESHI 100 DRC
Nchi ya Burundi imepeleka wanajeshi wake nchini DRC kwa ajili ya kukabiliana na mzozo wa waasi wa m23
Majeshi hayo ya burundi yanategemewa kwenda kuweka kambi maeneo ya Kitshanga na Kilorirwe.
SWALI LA KUJIULIZA ??
Kwanini maeneo hayo na si karibu na Goma au mpakani mwa Rwanda na Kongo.
Imefanya hivo kuepuka kushambuliwa na jeshi la Rwanda kwa mwavuli wa M23. Ikumbukwe kwamba Majeshi ya rwanda na Burundi hayapatani kutokana na tofauti za kisiasa na utawala. Rwanda inaongozwa na chama cha kitutsi wakati Burundi inaongozwa na chama cha Kihutu.
View attachment 2541035
View attachment 2541036