The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,207
- 17,359
Ki ukweli hii ni aibu inapotokea fursa kama hii kwa taifa kama hili Lililopata uhuru zaidi ya miaka 50iliyopita,lenye idadi ya watu zaidi ya 40 milioni inashindwa kuwa hata na shirika la ndege lenye ndege zinazoruka?
Kenya na Rwanda mbona wao wameweza wana nini? Nasisi tunashindwa kwa nini?
kweli tuna haja ya kujitafakari upya kama taifa na kujua mwelekeo wetu ni upi.
Nikiangalia mbele naona giza totoro,
Kwa ujumla Tanzania hatuwezi kitu. Hata mpira umetushinda tutaweza nini!? Jana nilikuwa naangalia Cocafa cup South Africa tunafungwa mpaka na Lesotho, Swaziland na Madagascar. Hivi Tanzania tunaweza nini zaidi ya UFISADI!!