Tanzania kuijibu Marekani, Uingereza

Tanzania kuijibu Marekani, Uingereza

Unakamatwa na kupewa kesi ya kuku ukifika mahakamani unapewa ya kuuza bange!!
Mkuu hapa unashindwa kutambua kuwa haki ya msingi ya kujitetea hajaipoteza mpaka sasa. Bado anayo na hiyo ndiyo muhimu mno.
 
Hahah DSE hiì yenye makumpuni yasiyozidi 30 yaliyo kua registered hizo mabilioni za mara kwa mara zinapigwa lini?hahah labda wkt wa IPO tu.

Ungeongelea London stock of exchange,NYSE etc lkn DSE hahah ni mzaha huo.
Soko la.hisa lina ups and downs,ndio mana paiktwa sokoni
Kuna siku zinapigwa billions.za kutosha tu
 
Hujaitendea haki username yako. Sehemu gani nimemtukana Kagame? Jambo la pili ni kuwa Rwanda haiwezi kuwa role model yetu kwa sababu ya ukubwa na wengi wa watu wake. Tumewazidi haipungui mara 6 kwa idadi ya watu na ukubwa wa eneo. Ni sawa na wewe kuwa na watoto 12 n jirani yako ana watoto 2 wakike na wakiume halafu mtoto wako mmoja anakwambia baba mbona jirani zetu kila mmoja analala chumba chake peke yake?
Hii Siwezi kukujibu. Fikiria kwanza sawasawa
 
Rudi ukajipange, hao wazungu unaosema hawatupendi, zaidi ya 1/2 ya maendeleo ya nchi ni misaada au mikopo yao, hawa wasomi wetu wengi wamesomea kwao. Unataka watupende kwani sisi tunawapenda? Tunachoangalia ni wao kusimamia haki na sio kupendana. Unatuletea historia za mabaya yao ukidhani ndio utapata kuhalalisha huu ushenzi unaoendelea hapa nchini kwa sasa? Tukiamua kuandika mazuri ya wazungu tutajaza vitabu 200. Kwa taarifa yako ni bora kutawaliwa na wazungu wa sasa maana ni wastaarabu kuliko awamu hii ya tano.
AISEE YANI HIYO MISAADA NI YA KUNG,ATA NA KUPULIZA.
EMBU KATAFUTE ARTICLE INAYOSEMA "HOW IMPEPIALISTS BENEFITS FROM AFRICA THROUGH GIVING AIDS AND GRANTS".
YANI WANAKUSAIDIA KIDUCHU WANAKUBAMIZA VIKUBWA SIJUI UNAONGEA NINI WEWE????

Halafu usiseme bora kutawaliwa na wazungu kwan wale wana ustaarab gani???
Walichofanyiwa Venezuela ustaarab,?
Walichofanyiwa Kina Erdogan ustaarab ?
Mzungu sijui kakulisha nn wewe jamaa.
 
Soma post 121 kuna dozi yake huko.
Yani umeongea utumbo mtupu.
Hao wazungu uliowasifia wanatunyonya kupitia hiyo misaada na mikopo unayoisemea.
Wale jamaa ukiunda nao urafiki jua ipo siku taifa lako halikaliki.
Itizame Libya kutoka wonderful state into failed state.

We wasema kuwa eti wana mema mengi we jamaa ungeenda kuichunguza concept ya neocolonialism ungeelewa hawa wana mabaya kisedeee kuliko unavyowapaisha.

Huwez kusema bora kutawaliwa na wao ilhali ni wezi wa rasilimali na wanaenda kujenga kwao.
Hawachelewi kugeuza mataifa ya watu viwanja vya vita na majaribio ya silaha example Iraq,Syria,Libya.
Hawachelewi kupindua serikali yako na kupandikiza vibaraka kwa kupandikiza revolution example Venezuela and Turkey.

Hawa wana wema gani wafadhili wa IS,Taliban waharibu haki za kibinadam kwa kuharibu aman ya mataifa mbali mbali for their geopolitical interests????
Umejazwa kasumba ww.
Haiwezekan ww unatia shaba za kichwa raia wako kisa weusi then uje unirekebishe mm kuhusu haki za binadam.
Ni sawa na mchungaji anazini wazi wazi then awaambie waumin achen uzinzi ilhali yajulikana yey mzinzi wazi wazi.

We jamaa umejazwa kasumba huwajui vema hawa chui waliovaa ngozi za kondoo.
 
Yani umeongea utumbo mtupu.
Hao wazungu uliowasifia wanatunyonya kupitia hiyo misaada na mikopo unayoisemea.
Wale jamaa ukiunda nao urafiki jua ipo siku taifa lako halikaliki.
Itizame Libya kutoka wonderful state into failed state.

We wasema kuwa eti wana mema mengi we jamaa ungeenda kuichunguza concept ya neocolonialism ungeelewa hawa wana mabaya kisedeee kuliko unavyowapaisha.

Huwez kusema bora kutawaliwa na wao ilhali ni wezi wa rasilimali na wanaenda kujenga kwao.
Hawachelewi kugeuza mataifa ya watu viwanja vya vita na majaribio ya silaha example Iraq,Syria,Libya.
Hawachelewi kupindua serikali yako na kupandikiza vibaraka kwa kupandikiza revolution example Venezuela and Turkey.

Hawa wana wema gani wafadhili wa IS,Taliban waharibu haki za kibinadam kwa kuharibu aman ya mataifa mbali mbali for their geopolitical interests????
Umejazwa kasumba ww.
Haiwezekan ww unatia shaba za kichwa raia wako kisa weusi then uje unirekebishe mm kuhusu haki za binadam.
Ni sawa na mchungaji anazini wazi wazi then awaambie waumin achen uzinzi ilhali yajulikana yey mzinzi wazi wazi.

We jamaa umejazwa kasumba huwajui vema hawa chui waliovaa ngozi za kondoo.

Unaweza ukanipa tofauti ya hao wazungu na hawa watawala wetu? Narudia tena bora kuongozwa na mzungu mwizi kuliko muafrika mwenzangu mshenzi. Ule ukatili wa wazi nyakati za uchaguzi zina tofauti gani na hayo ya hao wazungu unaolialia hapa. Kama ni kufaidi ya hapa nchini unafaidi ww unayejipendekeza kwa watawala.
 
Unaweza ukanipa tofauti ya hao wazungu na hawa watawala wetu? Narudia tena bora kuongozwa na mzungu mwizi kuliko muafrika mwenzangu mshenzi. Ule ukatili wa wazi nyakati za uchaguzi zina tofauti gani na hayo ya hao wazungu unaolialia hapa. Kama ni kufaidi ya hapa nchini unafaidi ww unayejipendekeza kwa watawala.
Hahahaahahah kaka unachekesha sana.
Ngojea nikupe vipimo vya utawala huu ubora wake na utawala wa hawa white pogs;

Licha ya kuwa utawala huu wa kimabavu na kufanyiana ukatili lakin afadhali tunaishi kivyetu vyetu.Maliasili zitabaki bila ya kunyonywa ipo siku kizazi kijacho chenye busara kitazitumia vema hzo maliasili e.g madina mathalan ya uranium.Angalau tunaendesha nchi yetu kibishi bishi hvyo hvyo lakini ipo siku tutafika wacha tutengeneze self dependence ya taifa letu.

Wazungu sasa maninnaaa;kwanza ungekuwa unatumika mzalishaji mali ghafi zisizokunufaisha bali kunufaisha wao nchi mwao ktk viwanda vyao.Ungenyonywa maliasili kiasi huna ungebakia nacho kwaajili ya kizazi kijacho hususan Uranium mngebakia hamnazo tena.Zingewekwa economic strategies za kuitumia nchi yako kunufaisha nchi zao kwa cheap Labour,raw materials na miundombinu michache itayojengwa nchini kusafirisha hzo maliasili watazozichuma kwako kwenda sehem husika.usingekuwa huru kama ulivyo sasa hv unatapika utumbo wako humu JF ungekuwa utumwani hadi kifikra bro.
Kama sasa hv wanakubagua wakiwa kwao ww kwenu sipati picha wangekuwa wanakutawala wangekuita hadi "ass hole" mbadala wa "shit hole".Asa hv ktk social services hakuna segregation yeyote ila ungetawaliwa na hwa mabwana kungekuwa na segregation in the provision of social services base on race.
We una uhuru unatoka hapa unaenda kutibiwa hospital yeyote ila ingekuwa vice versa kwa mzungu kam angekutawala.
Conclusion bora makande kuliko pilau la masimango.Mzungu hakutakii mema na hakuwahi kukutakia mema, bora mwanao umtese mwenyewe ipo siku nafsi itakusuta utamuhurumia na kumtendea wema,kuliko akinyanyaswa na mtu baki itapitiliza mipaka na ukandamizaji usio na kifani maana hana hasara mwana sio wake.
 
Hahahaahahah kaka unachekesha sana.
Ngojea nikupe vipimo vya utawala huu ubora wake na utawala wa hawa white pogs;

Licha ya kuwa utawala huu wa kimabavu na kufanyiana ukatili lakin afadhali tunaishi kivyetu vyetu.Maliasili zitabaki bila ya kunyonywa ipo siku kizazi kijacho chenye busara kitazitumia vema hzo maliasili e.g madina mathalan ya uranium.Angalau tunaendesha nchi yetu kibishi bishi hvyo hvyo lakini ipo siku tutafika wacha tutengeneze self dependence ya taifa letu.

Wazungu sasa maninnaaa;kwanza ungekuwa unatumika mzalishaji mali ghafi zisizokunufaisha bali kunufaisha wao nchi mwao ktk viwanda vyao.Ungenyonywa maliasili kiasi huna ungebakia nacho kwaajili ya kizazi kijacho hususan Uranium mngebakia hamnazo tena.Zingewekwa economic strategies za kuitumia nchi yako kunufaisha nchi zao kwa cheap Labour,raw materials na miundombinu michache itayojengwa nchini kusafirisha hzo maliasili watazozichuma kwako kwenda sehem husika.usingekuwa huru kama ulivyo sasa hv unatapika utumbo wako humu JF ungekuwa utumwani hadi kifikra bro.
Kama sasa hv wanakubagua wakiwa kwao ww kwenu sipati picha wangekuwa wanakutawala wangekuita hadi "ass hole" mbadala wa "shit hole".Asa hv ktk social services hakuna segregation yeyote ila ungetawaliwa na hwa mabwana kungekuwa na segregation in the provision of social services base on race.
We una uhuru unatoka hapa unaenda kutibiwa hospital yeyote ila ingekuwa vice versa kwa mzungu kam angekutawala.
Conclusion bora makande kuliko pilau la masimango.Mzungu hakutakii mema na hakuwahi kukutakia mema, bora mwanao umtese mwenyewe ipo siku nafsi itakusuta utamuhurumia na kumtendea wema,kuliko akinyanyaswa na mtu baki itapitiliza mipaka na ukandamizaji usio na kifani maana hana hasara mwana sio wake.

Mkuu mbona pamoja na maelezo yako mengi hujanibadilisha. Bado narudia, kuliko kuongozwa na muafrika mwenzangu kifedhuli, bora niiongozwe na mzungu nijue moja hata akinifanyia ufedhuli nitajua hanihusu.
 
Sitarajii majibu yoyote ya maana bali kinyume chake.

Najua wataendelea kuharibu tu kupitia majibu yao.
mkuu majibu yatatoka wapi na nikweli kuna ukandamizwaji wa haki za raiya? kabudi alikiri gwanda kuuwawa kisha akadai hatujamwelewa
 
Hahahaahahah kaka unachekesha sana.
Ngojea nikupe vipimo vya utawala huu ubora wake na utawala wa hawa white pogs;

Licha ya kuwa utawala huu wa kimabavu na kufanyiana ukatili lakin afadhali tunaishi kivyetu vyetu.Maliasili zitabaki bila ya kunyonywa ipo siku kizazi kijacho chenye busara kitazitumia vema hzo maliasili e.g madina mathalan ya uranium.Angalau tunaendesha nchi yetu kibishi bishi hvyo hvyo lakini ipo siku tutafika wacha tutengeneze self dependence ya taifa letu.

Wazungu sasa maninnaaa;kwanza ungekuwa unatumika mzalishaji mali ghafi zisizokunufaisha bali kunufaisha wao nchi mwao ktk viwanda vyao.Ungenyonywa maliasili kiasi huna ungebakia nacho kwaajili ya kizazi kijacho hususan Uranium mngebakia hamnazo tena.Zingewekwa economic strategies za kuitumia nchi yako kunufaisha nchi zao kwa cheap Labour,raw materials na miundombinu michache itayojengwa nchini kusafirisha hzo maliasili watazozichuma kwako kwenda sehem husika.usingekuwa huru kama ulivyo sasa hv unatapika utumbo wako humu JF ungekuwa utumwani hadi kifikra bro.
Kama sasa hv wanakubagua wakiwa kwao ww kwenu sipati picha wangekuwa wanakutawala wangekuita hadi "ass hole" mbadala wa "shit hole".Asa hv ktk social services hakuna segregation yeyote ila ungetawaliwa na hwa mabwana kungekuwa na segregation in the provision of social services base on race.
We una uhuru unatoka hapa unaenda kutibiwa hospital yeyote ila ingekuwa vice versa kwa mzungu kam angekutawala.
Conclusion bora makande kuliko pilau la masimango.Mzungu hakutakii mema na hakuwahi kukutakia mema, bora mwanao umtese mwenyewe ipo siku nafsi itakusuta utamuhurumia na kumtendea wema,kuliko akinyanyaswa na mtu baki itapitiliza mipaka na ukandamizaji usio na kifani maana hana hasara mwana sio wake.
andika vizuri wewe
 
Mtu yoyote anayefanya jitihada za kuzuia uovu tunamuunga mkono bila kujali ni mzungu au mwafrika. Tunawapongeza US na UK kwa kukemea uovu.
Wakemee uovu alioutenda George Bush kama wanafuata haki za binadamu, Jiulize Libya ya sasa na ile ya Gaddafi ipi inafuata misingi ya haki za binadamu, Iraq ya saivi na ya Saddam husein ipi inafuata haki za binadamu,

Mwisho kama kwa kila kauli zao tunazikubali kwa 100% kwanini tulitafua Uhuru kutoka kwao
 
Je hicho tulichokuwa tunakipigania( trilion490) tumelipwa???
Kweli kabisa. Ndio maana Magufuli kuna baadhi ya watu hawamuelewi. Wanahisi wazungu Kila wanachofanya na hasa wanachotuelekeza ni formula na lazima tufuate. Magufuli kabadili mikataba ya accacia kwa kuwa wamekiri kuwa wanaiba na wameona msamaha. Wakati mwanzoni kuna mwanasheria mbobezi alitudanganya na kutisha watu kuwa tusijaribu kuzuia makinikia kwa kuwa tutafungwa na kuzuia wawekezaji nchini. Leo kimya anaona aibu huko aliko. Alituaminisha kuwa mikataba ikisainiwa ni mpaka mwisho, haivunjiki, sasa wanaona aibu.
 
Wakemee uovu alioutenda George Bush kama wanafuata haki za binadamu, Jiulize Libya ya sasa na ile ya Gaddafi ipi inafuata misingi ya haki za binadamu, Iraq ya saivi na ya Saddam husein ipi inafuata haki za binadamu,

Mwisho kama kwa kila kauli zao tunazikubali kwa 100% kwanini tulitafua Uhuru kutoka kwao

Tulitafuta uhuru ili tusitawaliwe na wakoloni weupe, mbona tumerudi kwa wakoloni weusi? Ni hivi, yoyote anayekemea uovu tunamuunga mkono, hatujali huko kwao au kwingine anakemea uovu ama la. Ninasimamia na mzungu yoyote ambaye anakemea uovu hapa nchini. Hamtaki mzungu kutuingilia tendeni haki fullstop.
 
Rais wa Rwanda alishawajibu vizuri sana hao jamaa kuhusu masuala ya haki za binadamu.
1. Kuwa Mwaafrika ndiye kinara wa haki hizo duniani.
2. Kuwa hao jamaa hawana moral authority ya kumfundisha Mwaafrika kuhusu haki hizo ambazo zinatawaliwa na mila na desturi.
3. Kuwa haki za binadamu za hao jamaa na ushoga, kutukana wakubwa zao na mambo mengine ambayo hayavumiliki kwa Mwaafrika. Mzungu anapaswa kujifunza kwetu katika masuala.ya haki za binadamu and not vice versa!
4. Kabendera kutumiwa na gazeti la Uingereza la Economist kuandika habari za kuleta machafuko kwa nchi yetu kwa malipo ya kampuni ya Uingereza ya Acasia, kamwe haliwezi kuvumiliwa na wala haliwezi kuwa kwenye haki za binadamu wa Kiafrika. Acasia wamekuwa wakimlipa Kabendera mabilioni ya pesa kwa shughuli hii baada ya kubanwa kwenye wizi wao wa makenikia. Lengo lao likiwa kuikomesha serikali ya Tanzania. Huu ni uhaini unaopaswa kuzimwa kabla haujaleta madhara. Hichi ndicho serikali ilichofanya kwa kumkamata Kabendera na kumfikisha mahakamani. Pesa hizo za kigeni alizokuwa akilipwa Kabendera hazikulipiwa kodi ya serikali - alikuwa akilipwa kinyemela kama wanavyolipwa wanaotumikia vikundi vya kigaidi hususani Al Akaida. Hii kama siyo money laundering ni nini?

Suala la Kabendera liko mahakamani na hakuna mwenye haki ya kuingilia suala ambalo liko mahakamani, including hao mabalozi wa Uingereza na Marekani. It is a contept of court. Waache sheria zetu zichukue mkondo wake.Wasitake kuifanyia Tanzania kama walivyozifanyia nchi kama Libya.
print those points
 
ivi mpaka leo bado kuna watu in watumwa wa fikra kwa kudhani mzungu yupo pamoja na sisi poleni sana
 
Tunataka kuona taarifa ya serikali kuhusu tamko hilo ikitokea White House... kama tulivyozoeshwa...


Cc: mahondaw
 
Mkuu mbona pamoja na maelezo yako mengi hujanibadilisha. Bado narudia, kuliko kuongozwa na muafrika mwenzangu kifedhuli, bora niiongozwe na mzungu nijue moja hata akinifanyia ufedhuli nitajua hanihusu.
Duuh babba mzungu kakulisha nini sijui??
Huwez mlazimisha mbuzi inywe maji poa bro endelea na belief yako.
 
Back
Top Bottom