Tanzania is Constructing $100 Millions New Stadium in Dodoma...

mkuu kama mnaamua kupanua miji lazima mkubali huduma zitangulie kwanza sasa mnataka watu watangulie halafu huduma zifute


Kama.selikali inahamia dodoma lazima na huduma ziwe kama ilivyo kuwa kwa dar

Ulichokisema ni kweli lakini jiji la dar lina watu zaidi ya million 5 na huko dodoma sidhani watu wanaoishi mule na ukijumlisha watakaohamia kama watafika hata milioni tatu anytime soon.

Sasa suala ni lile lile je, projects zipelekwe dodoma kwa sababu ni mji mkuu au wapeleke sehemu nyingine ambazo zinaweza kuleta manufaa zaidi (kama zipo)
 
Ulichokisema ni kweli lakini jiji la dar lina watu zaidi ya million 5 na huko dodoma sidhani watu wanaoishi mule na ukijumlisha watakaohamia kama watafika hata milioni tatu anytime soon.

Sasa suala ni lile lile je, projects zipelekwe dodoma kwa sababu ni mji mkuu au wapeleke sehemu nyingine ambazo zinaweza kuleta manufaa zaidi (kama zipo)
umesema ukweli ila ninacho kiamini ni kuwa dodoma inakuwa na inahitaji uwekezaji wa vitu na ili watu waje wawekeze lazima baadhi ya vitu serikali iviweke kama vivutio kwa wawekezaji


Kwa mfano huo uwanja ukiwepo watakuja watu wa kujenga hoteli kwaajili ya wanamichezo na wageni wengne

Leo ukiweka arusha ambayo tayari ni mji ulio kuwa mkubwa manake unainyima miji ambayo midogo isikue


Hapo kwa mimi ninacho kiona ni kuwa mradi wa hela nyingi umeenda kwenye mzunguko mdogo

ila ni mradi unaweza kuchochea ukuaji wa mji
 
Wananchi wanasahau kuwa mfalme wa morroco alipokuja alitoa ahadi ya kujenga, leo lawama kwa serikali ya Magufuri mmh!, kweli kuwa kiongozi ili ujue raha ya uongozi 😷!
Yaingia akilini Morocco kuwajengea Tanzania uwanja wa kwanza Afrika kwa ukubwa Kama zawadi? Yani usaidiwe kumpita alokufadhili? Mh!!😇
 
Ulichokisema ni kweli lakini jiji la dar lina watu zaidi ya million 5 na huko dodoma sidhani watu wanaoishi mule na ukijumlisha watakaohamia kama watafika hata milioni tatu anytime soon.

Sasa suala ni lile lile je, projects zipelekwe dodoma kwa sababu ni mji mkuu au wapeleke sehemu nyingine ambazo zinaweza kuleta manufaa zaidi (kama zipo)
Kwan Dar ilikuwa na Idadi hiyo ya watu toka enzi? , hata Dodoma baada ya muda fulan namba ya watu itaongezeka kwa sana

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Kwan Dar ilikuwa na Idadi hiyo ya watu toka enzi? , hata Dodoma baada ya muda fulan namba ya watu itaongezeka kwa sana

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app

Nenda nigeria kaangalie kama Abuja imeipita au kuwa sawa na Lagos pamoja na kuwekewa facilities zote.
Tukubali tu kuna miji ambayo ukiweka uwekezaji kunakuwa na uwezekano wa kukua zaidi mfano chuo cha UDOM kingewekwa mji kama mwanza leo hii tungeongea habari nyingine
 
Siyo Dodoma dah!!
Wangeujenga Arusha au Moshi ili siku tukiandaa AFCON, tuimarishe na utalii hapohapo. Pia, kuna hoteli nyingi around.
Dodoma bado sana, tena sana.
Dodoma n makao makuu ya nchi we need such a structure

Hao wanaopinga tuwapuuze uwanja wa taifa Dar n Mkubwa na unapata income kwa shughuli mbalimbali zjnazofanyika
 
Tanzania is constructing Africa's new largest stadium, Dodoma Stadium at a cost of $100 million. The stadium will have a capacity of up to 100,000 people.

Many people are against the idea of a new stadium. Intro Nerd said: "The biggest structures require a lot of maintenance. So when we budget for such structures, we must also be very clear how income will be generated not only to pay the loan but to maintain it too. Just word of caution, we have seen many a white elephant."

0811a6bbe4ba3ba1f0c4bfe90713c87f

Kuzwane Masinda said: "I don't want to sound judgemental, but most of the countries in Africa do not need such projects. We need to industrialise our villages and township that will boost our GDP growth and contribute towards our employment growth. We need to reflect on this well."

Tsoko Mukanya said: "Their football is not even recognised. By whom should it be recognised to warrant the construction of a new stadium? Besides, are stadiums used solely for football purposes?"

Some said they should build high tech schools. Lagos Champion said: "I hope Tanzania has a far better maintenace culture. This is what we lack in Nigeria. Let's hope there are big games and events that are able to fill the stadium."
Huo uwanja ni misuse of resources, dodoma panawafaa uwanja wa watu elfu 30 tu.
 
Tanzania is constructing Africa's new largest stadium, Dodoma Stadium at a cost of $100 million. The stadium will have a capacity of up to 100,000 people.

Many people are against the idea of a new stadium. Intro Nerd said: "The biggest structures require a lot of maintenance. So when we budget for such structures, we must also be very clear how income will be generated not only to pay the loan but to maintain it too. Just word of caution, we have seen many a white elephant."

0811a6bbe4ba3ba1f0c4bfe90713c87f

Kuzwane Masinda said: "I don't want to sound judgemental, but most of the countries in Africa do not need such projects. We need to industrialise our villages and township that will boost our GDP growth and contribute towards our employment growth. We need to reflect on this well."

Tsoko Mukanya said: "Their football is not even recognised. By whom should it be recognised to warrant the construction of a new stadium? Besides, are stadiums used solely for football purposes?"

Some said they should build high tech schools. Lagos Champion said: "I hope Tanzania has a far better maintenace culture. This is what we lack in Nigeria. Let's hope there are big games and events that are able to fill the stadium."
Are talking about the one to be funded by the King of Morocco?

Apparently, the money is not forthcoming. And that after we sold our sour to betrayed our Saharawi brothers and sisters.

What a shame!
 
Walobahatika kutembea tunaomba mtupeni case study ya mji wowote duniani wenye wakazi chini ya 400,000 lakini wamejenga uwanja unachukua watu 100,000 kwa wakati mmoja!
 
Walobahatika kutembea tunaomba mtupeni case study ya mji wowote duniani wenye wakazi chini ya 400,000 lakini wamejenga uwanja unachukua watu 100,000 kwa wakati mmoja!
Hizo n takwimu za zamani

Kwasasa Dodoma inawatu wengi karibu milioni moja.Idadi ya watu inategemeana kuongezeka kuizidi Mwanza nankuwa mji wa pili kwa idadi ya watu
 
Dom ikifika population ya 5mil ujue dar itakua ni 10mil+
Mhh lini? Dodoma kufika watu M5 Dar itakuwa M 30!Hii mass movement ya JPM imeongexa watu Kama Elfu 25! Hapa insjumuisha watumishi na fimilia zao! ...kumbuka Kati ya watumishi 15,000 walio hamia Dom,Ni asilimia SI zaidi ya 30 walihamis na familia zao!
Dodoma hakuna pull factor ya nguvu inayoleta nguvu kazi kutoka maeneo mengine ya nchi!
 
Tanzania is constructing Africa's new largest stadium, Dodoma Stadium at a cost of $100 million. The stadium will have a capacity of up to 100,000 people.

Many people are against the idea of a new stadium. Intro Nerd said: "The biggest structures require a lot of maintenance. So when we budget for such structures, we must also be very clear how income will be generated not only to pay the loan but to maintain it too. Just word of caution, we have seen many a white elephant."

0811a6bbe4ba3ba1f0c4bfe90713c87f

Kuzwane Masinda said: "I don't want to sound judgemental, but most of the countries in Africa do not need such projects. We need to industrialise our villages and township that will boost our GDP growth and contribute towards our employment growth. We need to reflect on this well."

Tsoko Mukanya said: "Their football is not even recognised. By whom should it be recognised to warrant the construction of a new stadium? Besides, are stadiums used solely for football purposes?"

Some said they should build high tech schools. Lagos Champion said: "I hope Tanzania has a far better maintenace culture. This is what we lack in Nigeria. Let's hope there are big games and events that are able to fill the stadium."
watoa maoni ni mabeberu ama la wanatumika na mabeberu kwa kifupi hatupangiwi cha kufanya kwetu full_stop
 
Tanzania is constructing Africa's new largest stadium, Dodoma Stadium at a cost of $100 million. The stadium will have a capacity of up to 100,000 people.

Many people are against the idea of a new stadium. Intro Nerd said: "The biggest structures require a lot of maintenance. So when we budget for such structures, we must also be very clear how income will be generated not only to pay the loan but to maintain it too. Just word of caution, we have seen many a white elephant."

0811a6bbe4ba3ba1f0c4bfe90713c87f

Kuzwane Masinda said: "I don't want to sound judgemental, but most of the countries in Africa do not need such projects. We need to industrialise our villages and township that will boost our GDP growth and contribute towards our employment growth. We need to reflect on this well."

Tsoko Mukanya said: "Their football is not even recognised. By whom should it be recognised to warrant the construction of a new stadium? Besides, are stadiums used solely for football purposes?"

Some said they should build high tech schools. Lagos Champion said: "I hope Tanzania has a far better maintenace culture. This is what we lack in Nigeria. Let's hope there are big games and events that are able to fill the stadium."
Kuna mtu mjinga fulan anampotosha Rais. Nakwakuwa uchumi haudanganyi ataona result ya kaz yake
 
Dodoma kulishawahi kuwa na timu inaitwa Waziri Mkuu Dodoma sijui kama bado ipo na CDA
 
Hivi kwanini kila kinachojengwa nchini Tz awamu hii lazima kikosolewe na kubezwa kwa nguvu kubwa?

Eti kuuhudumia, sijui watazamaji na washabiki wa michezo watatoka wapi!

Hayo yote wanayoshauri yafanyike badala ya kujenga uwanja, mbona yanafanyika na nchi haijalala kuyaangazia?

Kumbe kuweka wax masikioni unapokuwa umeamua kutekeleza lengo ulilolipanga, hata kwa mtu binafsi mmoja mmoja ndiyo njia sahihi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom