Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

tupo kwa iyo list kwa sababu ya huu ukanda wa pwani( rufiji, uzaramoni, mtwara) na zanzibar..... labda tungeachana na wazenji i think hii data kidogo inge improve!!!!
 
watanzania si utani iq zetu zimehama mlinganyo ndio maana tunaishi kwa upambe na makelele na kusaini mikataba ya kikanjanja hatuna kumbukumbu mheshimiwa wetu aliwahi kubishia documentary yani ukweli wa mtu na camera juu ya mapanki

Mkuu nimekuelewa!
 
Jamani iliwahi kutolewa paper ya utafiti wa kisayansi
Paper inaonesha kuwa kuna kuna uhusiano mkubwa baina ya ukubwa wa dhakari na akili (IQ)
Waafrika wana dhakari kubwa alifuaatiwa na Wazungu halafu waasia hasa wa Mashariki (Jamii za Kichina)
Hivyo Jamii za Kichina wana IQ kubwa wakifuatiwa na Wazungu halafu ndio Waafrika.

Paper hiyo ililetwa JF lakini wadau mkabaki mkisifiana kwa kuwa na dhakari kubwa na kusaahau kuupinga udhalilishaji uliokuwa umeandikwa ndani (Nitajaribu kuitafuta na kuiweka tena jamvini). Kwangu wanajamvi kitendo hicho cha kushadidia ukubwa wa dhakari kilidhihirisha utaahira tulionao Waafrika, tunaacha kujadili mambo ya msingi tunajadili ujinga wa kijinga.


Ni muendelezo tu
Bazazi!
 
kwanza hata hiyo 72 nna wasiwasi nayo itakua chini ya hapo achen jaman taifa letu lina majitu majinga sana.
 
A think it comes with adaptation of enviroment.,.kibongo bongo 2mezaliwa 2naona chakula kila kona.,we don't need 2hustle hard 2 survive..but wenze2 sasa..they need 2b creative kutokana na kukosa ardhi yenye ru2ba...
 
siamini kwa hilo maana IQ iko kwa individual person how come wajue kuwa watz tuna IQ ndogo?
 
A think it comes with adaptation of enviroment.,.kibongo bongo 2mezaliwa 2naona chakula kila kona.,we don't need 2hustle hard 2 survive..but wenze2 sasa..they need 2b creative kutokana na kukosa ardhi yenye ru2ba...

Well I can say the data is flawed why it does not present any country in the Latin America and the Arab region.
 
Huu uchunguzi haushawishi vizuri..israeli ndo nchi yenye IQ average kubwa zaidi dunian sa ilipotupwa kwenye list ndo balaa
 
siamini kwa hilo maana IQ iko kwa individual person how come wajue kuwa watz tuna IQ ndogo?

On average that could be true, otherwise how do you explain uwepo miongoni mwetu watu aina ya lizaboni, ifweero, msalani, nape, serukamba etc?
 
kwanza hata hiyo 72 nna wasiwasi nayo itakua chini ya hapo achen jaman taifa letu lina majitu majinga sana.

mkuu umenena!
Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe~ Waziri

unaunda tume ya katiba alafu unaikana tume hiyo~ Rais (Dr.)

unachunguza uoza wa richmond alafu uoza mwengine unauficha eti kwa maslahi ya taifa~ Waziri (Phd)
 
All of Africa the rulers (not leaders) are like the CCM rulers we have in our country (Tanzania). If you take note to assess the IQ of CCM rulers you will get shocked. That's why we have a President whom was asked why is your country so poor, with all the resources around you and he answered "I DON'T KNOW"
 
Back
Top Bottom