Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,514
Kwa kiwango cha unafiki tulicho nacho Watanzania. Rais lelemama hawezi ifanikisha Tanzania hii iliyojawa na watu wenye maneno mengi kuliko vitendo.
Tanzania ambayo imejaa WANAFIKI WA KIWANGO CHA KIMATAIFA, WANAFIKI WA HADHI YA NYOTA 5.
Si ajabu sasa wanaanza kupanga na kujipanga kuanza mashambulizi kwenye cake ya Taifa. Kila zama zimekuwa na wapiga debe wake na wakosoaji.
Tanzania inakosa msimamo wa Kitaifa. Kumekuwa na misimamo ya kimaslahi zaidi. Rais anapawa kuwa strong sana. Wasomi wenyewe ndo hawa ma profesa waongo, wanafiki na wanaojiingiza kwenye siasa uchwara?
Tuna wakati mgumu sana wa kuendelea. Kila mtu anaangalia atafaidika vipi yeye na watu wake. Tunahitaji Rais mkakamavu hasa kimaamuzi.
Tanzania ambayo imejaa WANAFIKI WA KIWANGO CHA KIMATAIFA, WANAFIKI WA HADHI YA NYOTA 5.
Si ajabu sasa wanaanza kupanga na kujipanga kuanza mashambulizi kwenye cake ya Taifa. Kila zama zimekuwa na wapiga debe wake na wakosoaji.
Tanzania inakosa msimamo wa Kitaifa. Kumekuwa na misimamo ya kimaslahi zaidi. Rais anapawa kuwa strong sana. Wasomi wenyewe ndo hawa ma profesa waongo, wanafiki na wanaojiingiza kwenye siasa uchwara?
Tuna wakati mgumu sana wa kuendelea. Kila mtu anaangalia atafaidika vipi yeye na watu wake. Tunahitaji Rais mkakamavu hasa kimaamuzi.