Tanzania iko salama chini ya CCM

Tanzania iko salama chini ya CCM

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
506
Reaction score
487

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa tumaini na nguzo imara ya Taifa letu kupitia sera, falsafa na dira inayoweka mbele maslahi ya Watanzania.

Kwa miaka mingi, CCM imebeba dhamana ya kulinda amani, kuimarisha umoja na kusukuma gurudumu la maendeleo ya Tanzania mbele.

Ni dhahiri kuwa kupitia uongozi wenye uzoefu, rasilimali watu pamoja na mipango na mikakati yenye matokeo, CCM kitaendelea kuwa ni chama imara chenye uwezo wa kusimamia Tanzania yenye amani, umoja, mshikamano na maendeleo endelevu kwa kizazi cha sasa na badae.

Kazi na utu Tunasonga mbele
 
20260423_150034.jpg
 
CHADEMA wote wanakubali ukweli huo na ndio Maana wamekuwa wakikimbia huko na kujiunga CCM
 
View attachment 3594400

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa tumaini na nguzo imara ya Taifa letu kupitia sera, falsafa na dira inayoweka mbele maslahi ya Watanzania.

Kwa miaka mingi, CCM imebeba dhamana ya kulinda amani, kuimarisha umoja na kusukuma gurudumu la maendeleo ya Tanzania mbele.

Ni dhahiri kuwa kupitia uongozi wenye uzoefu, rasilimali watu pamoja na mipango na mikakati yenye matokeo, CCM kitaendelea kuwa ni chama imara chenye uwezo wa kusimamia Tanzania yenye amani, umoja, mshikamano na maendeleo endelevu kwa kizazi cha sasa na badae.

Kazi na utu Tunasonga mbele
Nchi inaangamia jamani tuwe makini na CCM.
 
Huna hata aibu . Wewe si ndio ulikuwa unapiga malamli yako ya kiganga humu na kuzusha kila aina ya uzushi? Kiko wapi sasa? Umeishia kuvuna aibu tu. Wewe endelea na Mitunguli yako tu
Wanaume wa like ndio huwq wanaweza kuchamba na kuandika mipasho ya kutunga
 

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa tumaini na nguzo imara ya Taifa letu kupitia sera, falsafa na dira inayoweka mbele maslahi ya Watanzania.

Kwa miaka mingi, CCM imebeba dhamana ya kulinda amani, kuimarisha umoja na kusukuma gurudumu la maendeleo ya Tanzania mbele.

Ni dhahiri kuwa kupitia uongozi wenye uzoefu, rasilimali watu pamoja na mipango na mikakati yenye matokeo, CCM kitaendelea kuwa ni chama imara chenye uwezo wa kusimamia Tanzania yenye amani, umoja, mshikamano na maendeleo endelevu kwa kizazi cha sasa na badae.

Kazi na utu Tunasonga mbele
Fucking shit, nchi inakuaje salama wakati watu wenye "akili Sana" Walimpiga risasi lisu, wanaendelea kuteka, na kuua, na vyombo vya dola havina uwezo wa kuwakamata vimebaki kama mbwa Koko, au kenge maji asie na malinda
 
Tanzania bara ipo salama lakini wananchi wake wanaishi kwa hofu kubwa..CCM inawasaidiaje kwa vitendo hawa wananchi wanaishi kwa hofu ya kuuliwa na kutekwa?
 

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa tumaini na nguzo imara ya Taifa letu kupitia sera, falsafa na dira inayoweka mbele maslahi ya Watanzania.

Kwa miaka mingi, CCM imebeba dhamana ya kulinda amani, kuimarisha umoja na kusukuma gurudumu la maendeleo ya Tanzania mbele.

Ni dhahiri kuwa kupitia uongozi wenye uzoefu, rasilimali watu pamoja na mipango na mikakati yenye matokeo, CCM kitaendelea kuwa ni chama imara chenye uwezo wa kusimamia Tanzania yenye amani, umoja, mshikamano na maendeleo endelevu kwa kizazi cha sasa na badae.

Kazi na utu Tunasonga mbele
Laana kum, wewe!Unaandika ujingaujinga kila muda.Huwa unawapikia wame zako muda gani wewe!Kibaka unayevaa gagulo!
 
Back
Top Bottom