Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Tayari wanajeshi na makomandoo hodari wa Tanzania wapo mstari wa mbele kuelekea Goma kupambana dhidi ya udharimu wa M23.
Tanzania kama taifa huru na linalotambua uhuru waafrika na demokrasia yake, hatuwezi kuacha serikali halali kundolewa kwa mtutu wa bunduki na wahuni tu.
Isitoshe Kongo ni eneo mhimu la Tanzania kiuchumi, kiulnzi na kivinasaba!
Serikala zote zilizokuwepo baada ya Mobutu ni serikali zilizoitika Dar es Salaam!
Kabila mkubwa na Kabila huyu wanamakazi ya kudumu Dar es Salaam, familia zao zipo Dar, Vitega uchumi vyao vipo Dar,
Kwa njia yoyote ni lazima tuilinde serikali halali na ya kidemokrasia iliyochaguliwa na Wakongomani wengi,
Kituo kikuu cha Uranium ya Kongo ni Tz, ndipo Iran na Urusi huchukulia!
Hili USA linawakera sana na sasa wanapandikiza waasi kumuondoa Kabila.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Kongo, Mungu ibariki Afrika
Tanzania kama taifa huru na linalotambua uhuru waafrika na demokrasia yake, hatuwezi kuacha serikali halali kundolewa kwa mtutu wa bunduki na wahuni tu.
Isitoshe Kongo ni eneo mhimu la Tanzania kiuchumi, kiulnzi na kivinasaba!
Serikala zote zilizokuwepo baada ya Mobutu ni serikali zilizoitika Dar es Salaam!
Kabila mkubwa na Kabila huyu wanamakazi ya kudumu Dar es Salaam, familia zao zipo Dar, Vitega uchumi vyao vipo Dar,
Kwa njia yoyote ni lazima tuilinde serikali halali na ya kidemokrasia iliyochaguliwa na Wakongomani wengi,
Kituo kikuu cha Uranium ya Kongo ni Tz, ndipo Iran na Urusi huchukulia!
Hili USA linawakera sana na sasa wanapandikiza waasi kumuondoa Kabila.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Kongo, Mungu ibariki Afrika