Tanzania high inflation, pesa yetu ni useless In world market, watu mpo kimya?

Tanzania high inflation, pesa yetu ni useless In world market, watu mpo kimya?

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,329
Reaction score
4,198
I will be short

aisee every day. mambo ya nakuwa magumu, inflation kubwa sana. aisee

hata dollars watu wanatuuzia at high price wana ogopa market vulnerability. yani mtu nauza dollar at maximum profit anajua hizi mambo siku yeyote itapanda zaidi.

Sasa tunatokaje huku?? hali mbaya sana
 
I will be short

aisee every day. mambo ya nakuwa magumu, inflation kubwa sana. aisee

hata dollars watu wanatuuzia at high price wana ogopa market vulnerability. yani mtu nauza dollar at maximum profit anajua hizi mambo siku yeyote itapanda zaidi.


Sasa tunatokaje huku?? hali mbaya sana
Mama yake Lucas Mwashambwa Yuko busy kupambania na CHADEMA hata kwa gharama ya damu za kina Mdude_Nyagali ili mradi tu abaki madarakani
 
I will be short

aisee every day. mambo ya nakuwa magumu, inflation kubwa sana. aisee

hata dollars watu wanatuuzia at high price wana ogopa market vulnerability. yani mtu nauza dollar at maximum profit anajua hizi mambo siku yeyote itapanda zaidi.

Sasa tunatokaje huku?? hali mbaya sana
SAMAHANI INFLATION ILIKUWA ASILIMIA NGAPI NA SASA IPO NGAPI(Tupe na chanzo)
kwan dollar ndo kipimo? leta fact hapa
 
I will be short

aisee every day. mambo ya nakuwa magumu, inflation kubwa sana. aisee

hata dollars watu wanatuuzia at high price wana ogopa market vulnerability. yani mtu nauza dollar at maximum profit anajua hizi mambo siku yeyote itapanda zaidi.

Sasa tunatokaje huku?? hali mbaya sana
Usijali kamanda, nenda jirani hapo kachukue Kwacha uendelee na biashara zako za kimataifa.
 
I will be short

aisee every day. mambo ya nakuwa magumu, inflation kubwa sana. aisee

hata dollars watu wanatuuzia at high price wana ogopa market vulnerability. yani mtu nauza dollar at maximum profit anajua hizi mambo siku yeyote itapanda zaidi.

Sasa tunatokaje huku?? hali mbaya sana
Tanzania tuna trade imbalance na mataifa mengine kwa kiwango cha juu sana.
Hasa china na mataifa ya ulaya na marekani. Tunaiport kwa wingi bidhaa kutoka nje kuliko ku export. Ni lazima tuwe wazalishaji
 
Mafanikio ya awamu ya sita.
Mwaka 2030, dollar Moja itafika 7500.
 
Back
Top Bottom