Baada ya kusikiliza hoja za mbunge ndo ni lielewa kwanini alifanya hicho alichofanya kwa kweli nili muunga mkono, ila Waandishi wa Habari wetu walionyesha tu tukio bila kulijengea msingi wake au background ya tukio kama hilo.
Mambo kama hayo yana tokea kwenye ma bunge mengi kusindikize serikali ifanye jambo fulani, Ulaya paka wa bunge wanavua nguo, wengine kukaa chini kama serikali imekaidi kufanya jambo fulani kwa wa wana nchi wao.
Ntawashangaa sana kama mtabaki kumuita Mbunge huyu kichaa na kutuonyesha picha za sarakasi badala ya kufuatilia na kutujuza kilichomfanya achukue uamuzi huo.
Mambo kama hayo yana tokea kwenye ma bunge mengi kusindikize serikali ifanye jambo fulani, Ulaya paka wa bunge wanavua nguo, wengine kukaa chini kama serikali imekaidi kufanya jambo fulani kwa wa wana nchi wao.
Ntawashangaa sana kama mtabaki kumuita Mbunge huyu kichaa na kutuonyesha picha za sarakasi badala ya kufuatilia na kutujuza kilichomfanya achukue uamuzi huo.