Sio kwamba watu wenye uwezo wa kufanana na Eng Mjema Tanzania hawapo, tatizo kubwa siku zote limekuwa ni sapport, iwapo kweli serikali yetu ingekuwa na nia ya dhat ya kuwezesha innovations kwenye nchi hii naamini kuna wengi tu wana huo uwezo. Leo hawa tumewasikia kwenye vyombo vya habari lakini after one month no one atakuwa anawazungumzia tena hawa watu and next time tutasikia tu ripoti ya ku fail kwao kwamba walikosa support na project ikafa. WE NEED TO CHANGE GUYS, Lazima tuthamini uwezo wetu wenyewe na watu wetu wenye uwezo kama huo tuwape support ya kutosha, kwa maana ya capital, ulinzi, na mazingira mazur ya kufanya kazi zao. Sio kuwaachia tu alafu tusubiri kupiga nao picha kwenye magazeti, wakati ukute hata izo pesa za kununulia engines wanatoa mifukoni mwao. Hata kwa hapo ulipofikia, hongera Komred Eng, Mjema. Hongera ATC mmekuwa mfano wa namna vyuo vyetu vya technologia vinatakiwa kuwa.