Tanzania has started to build its own helicopters

Tanzania has started to build its own helicopters

Acheni uzuzu tz ubavu huo hakuna eti building helicopter say assembling helicopter mnawezatengeneza rotor craft nyinyi mnachukua engine Volkswagen's kazi yenu kudizaini body kama yalivyo mabasi kama yutong

Umeongea point ya kufikirisha. Ili uwe na kiwanda kama hiki cha helikopta lazima uwena Special Plant ambayo itatengeneza vipuri vyote ambavyo itakuwa na brand yake kuanzia injini mpaka body sasa kama injini ni ya volkswagon hiyo itakwa siyo helikopta zetu.

Kwetu itakuwa ni assembly point tu tusipotoshane kwenye ukweli.
 
Naomba unithibitishie kwamba mm.ni ukawa
2nd naomba unithibitishie hzo helicopter nzima zipo Arusha tech
Ukisoma hyo makala wanakuambia phase ya kwanza utakua 2018 we unabisha bisha tu huoni hzo Picha ni helicopter nzima?
Mijitu mingine bana
Mkuu unajua maana ya prototype?
 
Mh ety kujenga choppers acheni kudanganyana tofautisha kujenga na ku assembly
 
yaani badala kutengeneza toothstick zitakazozalisha mamia ya ajira wanawaza helikopter
Hata kwa hatua hizi kidogo tunahitaji kupongeza juhudi hizi. Mwisho wa siku hata fighter jet na hizo attack chopper tutakuwa na uwepo wa kuziuunda which means jeshi letu kitakuwa haliagizi vifaa ndege nje tena. Big up
 
Jamaa wazungusha mikono inawauma hii ...heko kwa JPM
 
Katika Nchi Isiyotengeneza Pikipiki Na Viwembe Ghafla Helicopter,,,,,wanatengeneza Au WanaAssemble? LOL Nimewaza Kwa Sauti Tu
 
Jamaa wazungusha mikono inawauma hii ...heko kwa JPM
Ivi ni lini mtatambuka mchangie kila kitu bila kuhusisha siasa? Badilikeni ebbo! Nchi haitaendelea kwa hizo akili kamwe.
 
SERIKALI ISIFANYE TENA KOSA LA KUBADILI ARUSHA TECH AU DAR TECH KUWA UNIVERSITY ....KAMA MBEYA TEECH ...
HIVI VYUO VINACHUKUA VIJANA WADOGO WA FORM FOUR NA WANA SOKO KULIKO HATA GRADUATES WA MLIMANI...THEY ARE SO PRACTICAL HAWA ARUSHA TECH HADI WANA MRAADI WA HYDRO POWER
 
Kama nimeisoma hii habari vizuri ni kwamba Injini wananunua toka German "Volkswagen" so nadhani hapo hakuna kipya badala yake ni uunganishaji wa vifaa.

Unapotengeneza chombo basi uwe unadhalisha na spea, ninachokiona hapa ni kwamba siku hiyo chopa imearibika spea itabidi uagize toka Germany

Ila hongereni maana kwa ubunifu huo Mzee wa mwendokasi lazima ajitutumue na kuwaongezea budget.

HAPA KASI TU
Unajua vitu usivyovijua uliza usaidiwe

Katika tasnia ya uhandisi kuna aina tatu za classification of design ambazo ndizo hutoa matokeo ya chombo husika

Aina hizo ni
1. Adaptive design
2 .Developed Design
3. New Design

Sasa hapo wamekosea wapi , wao wamechukua adaptive wakachanga na developed then watapata new one

Fani za wanaume waliokaa darasani miaka 4 , hutakiwi kuzichezea

Japan engine ya kwanza walichukua ughaibuni kutengeneza gari leo wako mbali na walipita tunamopita maana ndivyo ilivyo kwenye field ya uhandisi

Hongereni wahandisi arusha college
.
# Hapa Kazi tu
 
Siku hiyo ndio siku nitaacha kabisa kupanda ndege , ni hatari sana ! Itakuwa ni kamari ya kijinga sana dhidi ya uhai wangu .
 
Kuna Project ya Retired JWTZ soldiers waliokua wanataka kufungua hanger ya kuservice ndege , project hii aliibariki JK, hawa wazee wamekuja kuishia njiani baada ya kukosa mikopo, i think it is high time magufuli awaangalie hawa wazee, nao watoke kimasomaso baada ya miaka mingi ya utumishi serikalini, katika jeshi la Anga.
 
Mbona zamaaani tulikuwa tunatengeneza ma Scania na ma trekta Valmet kibahaa
 
Back
Top Bottom