Hapana mkuu wangu International water haina mpaka wa nchi kwa nchi hata kidogo na wala haufuati utaratibu wa mipaka ya nchi kavu kabisaaa! mbingu na ardhi mkuu wangu.wewe ni mgumu kuelewa, nimekwambia kitu kinachotofautisha maji mengine yaitwe national na mengine international ni mipaka tu kama ya nchi ya kenya na tz...nikiwa na maana kuwa, katika kila nchi ufukweni huwa kuna neutical miles kadhaa ambazo ni sawa tu na ardhi ya kwenye nchi hiyo na hauruhusiwi kungia huko hadi ridhaa ya nchi hiyo kama ilivyo mtu kuingia kutoka kenya kwenda Tz....
Kisha kunionyesha site ya wizara ya Israel inaonyesha ufinyu wako ktk swala hili kwa kusikiliza wakosefu badala ya kukusanya ushahidi unaoweza kuwafunga au kuwatoa huru. Tatizo lako umeshakubaliana na ushahidi wa mkosefu hivyo huwezi kuwa jury mzuri.. Hadi hapa tayari umeshaonyesha Ushabiki unashindwa kufuatilia ushahidi uliopo. Waulize hasa huyo waziri wa Mambo ya nje wa Israel, hiyo sheria ya kuingia International water wao wameitoa wapi?