Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Hii biashara ya kututenga inaweza kuwa " a blessing in disguise" kama wanavyosema wenzetu. Kama tutatekeleza mawazo ya akina Prof. Wangwe, sina shaka tutasonga mbele kwa kasi zaidi kuliko ambavyo ingekuwa ndani ya EAC.
Nadhani tusichukulie huo mpango wa jirani zetu on a negative side pekee. Tuangalie jinsi inavyoweza kutunufaisha zaidi.
Nadhani tusichukulie huo mpango wa jirani zetu on a negative side pekee. Tuangalie jinsi inavyoweza kutunufaisha zaidi.