Tanzania excluded from EAC joint communique

Tanzania excluded from EAC joint communique

hawa wote ni wanafiki iweje wakubaline kuingia kwenye mambo kama haya wakati sisi woote ni wana afrika mashariki na tulikuwa tuna msaada mkubwa sana kwa uwepo wa nchi zao zote mpk zilipo sasa kwa namna mooja ama nyingine
 
Nothing surprising here. It was suggested two-three years ago by Yoweri Museveni that the EA confederation move can go on without the hesitant Tanzania.

TZ hatuko hesitant ila tunaona mbali na hatutaki kuburuzwa kama kinda kwani Tanzania ni kw ajili ya waTZ na si Wakenya.
Wanafikiri TZ itapanic na kupiga magoti lakini nasema Mwenye PUPA Mpishe na Mbio za sakafuni huishia ukingoni. Ipo siku tutaonekana tunaona mbali.
 
JK usiogope wala usipanic tuko nyuma yako na hiki ni kipimo cha kuonyesha uzalendo kwa nchi yetu na support kwa viongozi wetu. Najua wanataka tulainishe masharti ya kugawa ardhi na Museven ana ndoto za kuwa rais wa East African federation kabla hajafa. Kenya inataka ardhi yetu wauziwe Wakenya na hilo hatukubali ni bora wajitenge.

Hivi EAC walikuwa wanachangia kiasi gani kwa budget ya TZ? nashukuru barabara ya Arusha Nammanga imekamilika nothing more tunahitaji kwani as a country Tanzania tunajitosheleza kwa kila kitu wasitubabaishe.
 
Hili si la kuchekea hata kidogo. Ni tatizo kubwa kubwa sana.Kutengwa na ndugu zako halafu useme nina kwangu bwana ni ivivu wa kufikiri zaidi. Kupanga ni kuchagua.
 
Unaweza kuwafanya kitu mbaya wote hao kwa pamoja? acha kuongea habari ya mtutu wa bunduki wakati vita ya umasikini na ujinga tu isiyohutaji mtutu imeshatushinda
Madhara ya vita ya kumng'oa Idd amin bado hayajaisha mpaka leo. Sidhani kama vita itakua suluhisho .
 
Non consequential Tanzania has enough to go around on its own..hatuhitaji single currency na mtu yeyote wala political confederation na hypocritical-unstable bunch of states. Kama wenyewe watapata nguvu na kua economic hub (yaani wao wote ukiwajumlisha) basi hii itanufaisha Tz vile vile kwa ukaribu wetu, na kutupa changamoto ya kuzalisha zaidi haswa mazao ya chakula kuwasaidia kuwalisha wenyewe (ambao tuseme watakua wameinuka kiuchumi na wananchi wao kuongeza demand haswa hii ya chakula)..this is only good news to Tanzania.
 
Tulifanya haraka sana kumuingiza huyu Kagame kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki!....Angalia sasa anavyosumbua system!

cc: mbokaleo
 
Last edited by a moderator:
still they need us. hapa ni round about, watarudi tu.
 
Non consequential Tanzania has enough to go around on its own..hatuhitaji single currency na mtu yeyote wala political confederation na hypocritical-unstable bunch of states. Kama wenyewe watapata nguvu na kua economic hub (yaani wao wote ukiwajumlisha) basi hii itanufaisha Tz vile vile kwa ukaribu wetu, na kutupa changamoto ya kuzalisha zaidi haswa mazao ya chakula kuwasaidia kuwalisha wenyewe (ambao tuseme watakua wameinuka kiuchumi na wananchi wao kuongeza demand haswa hii ya chakula)..this is only good news to Tanzania.

I wish our leaders were positive minded like you shida ni kuwa akili ndogo inaongoza akili kubwa
 
I have several threads in the International Forum of JF in which I have cautioned Tanzania to be very watchfull of her current partners in EAC. Events are proving me 90% right. The remaining 10% will be completed when TZ is completely isolated. Tanzania you have refused to accede to the single most important item(in the opinion of your partners) in the EAC protocol - LAND. I am not a prophet of doom but mark my words!
 
kuunganisha nchi ambazo kunatofauti ya raslimali ni tatzo kubwa sna, TZ tuna ardhi yenye rutba sana ukilinganisha na Nchi zingine za EAC,
 
...the problem we face as a country is that....does the current TZ leadership has the guts to re-position the country from the current scenario???...this is what i see as trouble.......because we already hear TZ calling for resolution...as a gesture of surrender (to me).....As for me....the best way forward...if they keep ignoring TZ in these important technical EAC meetings is to pull out from the EAC all together......and let our leaders concentrate (seriously) in building the country(TZ).....by working hard....with vision,focus,patriotism....together with fighting corruption....nepotism...and all illegal practices......Its only by doing this we (as a country)will get respect from countries like Rwanda......

I think, our leaders have got guts. What needed at the moment is to give a strike across the bow and let it loose at its own momentum. Shall we wait for another snubs from little men?
 
Hili limenilazimu kutoka pangoni.

..... Historia inaonesha mataifa na mwanadam kwa ujumla huwa mbunifu na pia uendelea kwa kasi pale mazingira yanapompa

changamoto nzito. Tushukuru mungu tumepata fursa ya pekee kujua jirani yako anamtazamo gani na wewe. Jambo hili huwa

ni adimu sana, matokeo yake hujikuta umezungukwa na watu wengi maishani lakin wachache ni wakweli.


..... Kijiografia Tanzania haina sababu yoyote ya kutishwa na maamuzi haya. Kwa ufupi dunia

ya leo commerce ndio inayotawala na kuendesha siasa. Trade volume kati ya Tanzania na nchi

hizi inaonesha kuwa athari za maamuzi aya ni ndogo sana kwa taifa letu. Inanishangaza kidogo

kuhusu Kenya maana hawa ni mojawapo ya wawekezeji wakubwa Tanzania kwa vyovyote vile nchi yetu

ikiamua kujibu mapigo wataumia sana na hili.


..... Kuna hili la chakula, asilimia kubwa ya chakula na nafaka katika ukanda huu inazalishwa na Tanzania

na hizi nchi huja hapa kununua. Nilifika Mufindi miaka ya nyuma na kukuta hawa majirani wakinunu kwa

wingi mbao na chai yetu. Nilirudi mwaka mwingine nikakuta biashara hii imeongezeka.

Nilipokuwa Arusha niligundua kuna bishara kubwa pale Namanga ya mboga mboga kutoka nchini kuelekea

kule ngambo ya mpaka.


..... Nishati, kwa ufupi hapa ndio pana utamu kweli! Katika hili tutazame The China scenario, leo hii

asilimia kubwa ya viwanda Ulaya na Marekani viwanda vinafungwa na kuamia China au kununua hizo

bidhaa china, sababu kuu ikiwa ni urahisi na unafuu wa bidhaa hizo. Kwa ufupi ukizalisha bidhaa

yenye ubora kwa bei nafuu, haijalishi upo wapi wanunuzi watakuja, nchi zote za kusini mwa bara la

Africa zinamahitaji makubwa ya nishati, na haya yanazidi uwezo wa vyanzo vyao na pili hawana njia

mbadala.

ENERGY & FOOD are the biggest global concerns right now. The world's eyes are all on us, recent visits

by key figures is sufficient testimony. Tanzanians, you have the largest gas and hydrocarbon deposits

along with the largest unutilised agricultural land on the planet.

You only need good accountable & responsible leadership, not a federation or quarrels.


Tanzania hiii ni FURSA KUBWA......

Tanzania sitetereke........

Tanzania wewe ni mzazi wa wote hawa ..... mwana hawezi mtisha mzazi.
 
President Uhuru Kenyatta has signed a pact with Uganda and Rwanda to remove travel barriers among the three countries in efforts to make it easier for entrepreneurs to operate across borders.

Speaking Thursday at Mombasa International ASK Show, he said that citizens of the three countries will soon be able use their identity cards, voters' cards (Uganda) and students' identity cards to travel to any of the three nations.

"Time has come for us to remove colonial boundary barriers that have kept us apart and also isolated the people from interacting and doing business freely," he said.
 
President Kenyatta urged entrepreneurs to take advantage of the agreement to exploit a larger market base for their agricultural and industrial products.

"This is what we have agreed as leaders so that our people can interact by visiting each other's country to do business and develop domestic tourism," he said.

The President's remarks put to question the fate of the other two East African Community (EAC) partner states, Burundi and Tanzani, who have remained absent during presidential and technical meetings regarding the plan.

Without mentioning the two countries, Uganda's President Yoweri Museveni, who accompanied Mr Kenyatta, said he was excited the "integration dream" he had awaited for 50 year would become a reality in his leadership.
 
The EAC chairman added that President Kenyatta, his deputy William Ruto and other Kenyan leaders had injected fresh blood to the previous anaemic situation.

"I am very excited on the issue of integration, which previously was suffering from political anemia. But with President Uhuru, his DP and others, it has got fresh blood supply for its survival," he said
 
The countries also agreed to invest in a Sh1.6 trillion high speed railway.

Following the meeting in Mombasa, the railway has now been extended to South Sudan and Burundi.

To eradicate poverty and create employment, President Kenyatta said Kenya would have to work closely with its neighbours, adding that working in isolation would only disadvantage the country.
 
Kama raisi wetuu yupo busy kwenda kwa wazungu kutafuta misada na nchi haiendelei, tunategemea nini. majanga yota nchini yanatokea yeye yupo kimya.

na utalii watapata watu, sababu wengi wanapend kusevu pesa wanalipa visa moja na ni cheap na wanatembelea nchi tatu kwa mpigo. nchi tatu sio nchi moja, na lazima watatokea Kenya kwenda Zanzibar as huko raisi hajachemka kama JK.

Cha kushangaza bado amekaa kimya tu au? kwa wananchi kusoma etc watatambulika zaidi na lazima watafanya joint yao iwe na matunda mengi kwao.

Akili sio kusafiri kila kukicha na kutoshughulikia ya nchi yako.

Acha waendelee.
 
Back
Top Bottom