Tanzania driving license

Tanzania driving license

Denice

Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
14
Reaction score
2
Hivi leseni zetu za kuendeshea gari tunaweza kuzitumia nchi yoyote??
 
Nchi nyingi ambazo wana keep left kama sisi wanaikubali, mfano nchi ya Australia wanaikubali driving licence ya Tanzania.
 
Ina ISO (International Standard Organisation )
Popote Unaitumia
 
Ulaya haiwezi kutumika hiyo.
UK kuna kipindi ilikuwa inakubalika kutumia kwa mwaka mmoja huku ukijipanga kwenda Wembly Dvla kuchukua learner kisha theory then practical mambo ya mirror ,Signal ,Maneuver ,sijui three point turn na reverse packing

Ukifuzu unapewa UK driving license
 
Nchi nyingi inatumika hasa kama unataka ya hiyo nchi husika unaenda shule yao kidogo tuu kwa level zilizopo humo ukipass unapewa...SA unaambiwa uwe na traffic register ya kwao ili ukiwa katika mfumo wao ukitambulika tuu unaruhusiwa kutumia ili ukipata fine unatumiwa katika ile register maana ipo katika mtandao wao...
 
Hivi leseni zetu za kuendeshea gari tunaweza kuzitumia nchi yoyote??
Niliitumia ya kwangu, Monterey California karibu na San Fransisco. Nikaitumia Detroit, Maryland huko Baltimore, Los Angelos na Washington DC. Kote wanaendeshea kushoto. Unaipeleka kwenye mamlaka ya lesseni wanaihakiki unaitumia. Cha muhimu ufuate taratibu. Wale madreva maalum walioko kwenye balozi zetu zote ambao ni watz wanatumia hizi za hapa home kwa conversion ya sheria za huko.
 
Germany wanakupa siku 90 utafute either ya hapa au international driving license
 
Hivi leseni zetu za kuendeshea gari tunaweza kuzitumia nchi yoyote??
Hapana hii ya Tanzania ni humu tu, nilipokuwa nafanya trip ya ukaguzi wa roadblock zinazo husiana na trade bariers kuanzia Dar-Bujumbura-Kigali-Kampala-Nairobi niliambiwa na mfadhili niende AAA wakanipa International Driving Licence kwa sh 170,000 maana tripu hii ilikuwa self driving na siruhusiwi kumpa dereva mwingine kuendesha gari maana ina namba ya tanzania na ikiwa nchi ya kigeni lazima uwe na iyo lesseni. masharti mengine watakueleza maanakwahuenda wamebadili na kuongeza mengine. ial hii ni kwa mwaka mmoja tu.
 
Niliitumia ya kwangu, Monterey California karibu na San Fransisco. Nikaitumia Detroit, Maryland huko Baltimore, Los Angelos na Washington DC. Kote wanaendeshea kushoto. Unaipeleka kwenye mamlaka ya lesseni wanaihakiki unaitumia. Cha muhimu ufuate taratibu. Wale madreva maalum walioko kwenye balozi zetu zote ambao ni watz wanatumia hizi za hapa home kwa conversion ya sheria za huko.
Nimekusoma, asante sana
 
Tanzania Mambo Yake Mengi Ni Juu Sana Ya Viwango Bar Code Ndani
 
Nchi nyingi inatumika hasa kama unataka ya hiyo nchi husika unaenda shule yao kidogo tuu kwa level zilizopo humo ukipass unapewa...SA unaambiwa uwe na traffic register ya kwao ili ukiwa katika mfumo wao ukitambulika tuu unaruhusiwa kutumia ili ukipata fine unatumiwa katika ile register maana ipo katika mtandao wao...
Nchi zile ambazo sheria zake za magari ni za kukeep left side.
 
Back
Top Bottom