Nilipokuwa napeleka Machungwa hapo Nairobi nilikuwa naruhusiwa kuitumia, pia miaka ya nyuma kidogo wakati naenda Congo na tank ilikuwa nikifika kule nilikuwa nazunguka na gari ndogo mtaani na haina shida, Nakumbuka hata nilipoenda kumsalimia rafiki yangu Malick London niliitumia ila kule ilitakiwa nitumie ndani ya mwaka tu.
Lesen yetu inatumika kwenye nchi za chini ya jangwa la sahara, ndizo nchi zilizokubaliana kitumia alama za barabaran zilizo sawa na sheria nyingi zinaendana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.