Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
Toleo la kwenye mtandao la Tanzania la Siku ya Jumapili lilikuwepo hewani kwa muda lakini baadaye leo baada ya kuingia la Jumatatu la Jumapili limetoweka. Sasa hivi ukiendana kurudi nyuma kutoka toleo la Jumatatu na kusema unataka toleo la jana (Jumapili) linakupeleka toleo la Jumamosi.
Toleo la Jumapili lilikuwa na makala ya "Hawa wawajibike vifo vya watoto Tabora!"
Well, inawezekana ni tatizo la kiufundi au wamepata muda wa kunywa chai na mtu aliyekuwa 'activated"!!!
Nilidhani kuna uhuru wa mawazo na maoni. Natumaini ni suala la kiufundi tu.
Toleo la Jumapili lilikuwa na makala ya "Hawa wawajibike vifo vya watoto Tabora!"
Well, inawezekana ni tatizo la kiufundi au wamepata muda wa kunywa chai na mtu aliyekuwa 'activated"!!!
Nilidhani kuna uhuru wa mawazo na maoni. Natumaini ni suala la kiufundi tu.