Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)

Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)

zacha mtu asikudanganye hata kidogo kila kitu unachofanya kwenye simu wanafahamu na inakuwa mbaya zaidi kwa wanaotumia smart phones kabisa na hapa naomba ufahamu hapa namaanisha kila kitu kinapita huko kwao na wanaona kila kitu kama wakitaka.
Najua mnaidharau sana Tanzania lakini ngoja nikwambie tuko vizuri sana sana. Kama kuna software fukani hivi sipendi kuitaja ukiwanayo unaweza kujua simu, sms, picha, na kila kitu kwenye simu ya mtu sasa ndio hao TCRA washindwe.

Unaonekana ni mtumishi wa hiyo taasisi lkn nakujakikishia. taasisi hy inaweza trace sms na voice call (partial). Haina uwezo wa tracing ya whatsapp msg kwa namna yyt kwa sasa labda baadae baada ya kufanikiwa kupata vidadavuzi vya technolojia husika.

Makamba pia alikiri wakati wa kusambaa kwa picha za wale waheshimiwa.
 
Last edited by a moderator:
Najua hujafanya utafiti vizuri na kama umesoma basi ni theory tu, hakuna ambacho TCRA wanashindwa wakiamua kufanya na ndio maana majasusi walioko Tanzania hawatumii minala yetu ya kawaida kupata mawasiliano.
Usiidharau Tanzania fanya ujinga utaona kuna wataalamu wengi sana sana wamesoma nje na wanapractice kila siku nchini.


Tuache siasa mkuu !
Siasa ni uongo !

Tuongee Reality !

Kuna b---e mmoja TCRA alikuwa kwenye Ziara gani sijui Pwani !

Nilimsikia akiwaambia(akiwadanganya) wananchi eti hakuna anaeweza ku spy maongezi yao kwenye smartphones !

Thats why nasema TCRA nitaasisi Dhaifu sana ! Hao majasusi unaowasemea ni Hoax tu ndicho ninacho amini !
 
TCRA hawana uwezo huo... hata watu wa mitandao wenyewe voda, zain tigo wote hawawezi kupata txt zako za whatsapp...

Naomba ujue kuwa whatup, viber na kadhalika zote zinatumia mkongo wa taifa kwa hiyo wanaweza kuona kila kinacho flow na ndio maana wakiamua kukufungia wanaweza.
 
Tuache siasa mkuu !
Siasa ni uongo !

Tuongee Reality !

Kuna b---e mmoja TCRA alikuwa kwenye Ziara gani sijui Pwani !

Nilimsikia akiwaambia(akiwadanganya) wananchi eti hakuna anaeweza ku spy maongezi yao kwenye smartphones !

Thats why nasema TCRA nitaasisi Dhaifu sana ! Hao majasusi unaowasemea ni Hoax tu ndicho ninacho amini !

Ndugu yangu hakuna nchi itakayokiri jambo la kuona kila kinachofanywa na simu zetu maana huo mkongo wa mawasiliano ndio unaofanya mimi na wewe tutumie viber Tanzania na huo mkongo haupitilizi kwenye mitandao ya simu moja kwa moja lazima upite TTCL=TCRA kwa hiyo kila kinacho flow wanaweza kukiona wakitaka.
 
Yaani Mkuu we unakaa Kuhofia Taasisi yakij---ga kama TCRA !

Hawawezi kufanya hivyo !
Kwakuwa hawana uwezo !

information zote zinawezekana hata BBM sema tu hili suala haliko wazi na Haliwez kuwekwa wazi ili kuzuia mtu au mtumiaji kukosa Uhuru wa mawasiliano. Namambo mengisana yanafanyika Pasipo wahusika kujua na mpaka kujua watu wametumia njia gani kupata information zako inakuwa kazi. isipokuwa zinatolewa au zitapatikana iwapo kuna suala nyeti sana na lenye maslahi ya wengi na halitawekwa wazi kama hizo taarifa ndizo zimetumika. Jambo hili KAMWE haliwezi kuwekwa wazi ukizingatia ni Mawasiliano ni suala nyeti sana.
ila napenda Kukuhakikishia 100% INAWEZEKANA.
CC: hmjamii , zacha
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu hakuna nchi itakayokiri jambo la kuona kila kinachofanywa na simu zetu maana huo mkongo wa mawasiliano ndio unaofanya mimi na wewe tutumie viber Tanzania na huo mkongo haupitilizi kwenye mitandao ya simu moja kwa moja lazima upite TTCL=TCRA kwa hiyo kila kinacho flow wanaweza kukiona wakitaka.


Mkuu naona ni ubishi kama waki siasa tu !
Na mimi huwa siuwezi !

Ungetoa maelezo ya jinsi TCRA wanavyoweza kufanya angalau ningekuelewa !

Ila ukiendelea hivi hivi with hypocrisy
and nonsense facts ! Those fools will going to be adored on your points !
Mimi Siwezi kukuelewa ! Atleast find another one but not snipa !
 
Last edited by a moderator:
information zote zinawezekana hata BBM sema tu hili suala haliko wazi na Haliwez kuwekwa wazi ili kuzuia mtu au mtumiaji kukosa Uhuru wa mawasiliano. Namambo mengisana yanafanyika Pasipo wahusika kujua na mpaka kujua watu wametumia njia gani kupata information zako inakuwa kazi. isipokuwa zinatolewa au zitapatikana iwapo kuna suala nyeti sana na lenye maslahi ya wengi na halitawekwa wazi kama hizo taarifa ndizo zimetumika. Jambo hili KAMWE haliwezi kuwekwa wazi ukizingatia ni Mawasiliano ni suala nyeti sana.

ila napenda Kukuhakikishia 100% INAWEZEKANA.


Mkuu hivi kwa maelezo kama hayo ni nani atakae kuelewa ?

Nazungumzia mwenye akili timamu !

Hebu jaribuni kuelezea how TCRA would interact whatsApp chatting system if any one would do so i'll going to Argue Acquiesce

 
Last edited by a moderator:
Mkuu hivi kwa maelezo kama hayo ni nani atakae kuelewa ?

Nazungumzia mwenye akili timamu !

Hebu jaribuni kuelezea how TCRA would interact whatsApp chatting system if any one would do so i'll going to Argue Acquiesce

Mkuu in short Internet service ina mambo mengi sana, ili uweze kutumia huwa Kuna DATA SENT na DATA RECEIVED na katikati yake kuna (DATA CONTROL ambayo mtumiaji hana uwezo wa kujua kinachoendelea) hapa ndipo Communication inakamilika.
Sitapenda Kuingia sana ndani ila utanisamehe sana mkuu.
 
Mkuu in short Internet service ina mambo mengi sana, ili uweze kutumia huwa Kuna DATA SENT na DATA RECEIVED na katikati yake kuna (DATA CONTROL ambayo mtumiaji hana uwezo wa kujua kinachoendelea) hapa ndipo Communication inakamilika.
Sitapenda Kuingia sana ndani ila utanisamehe sana mkuu.

Kuna haja ya kurudi kwenye mfumo wetu wa zamani wa posta, na kwa namna hii viongozi wetu wa serikali mnawalinda vipi na hizi system mpya katika kuhatarisha mambo nyeti ya nchi kuvuja kupitia "smartphones" endapo hackers wataweza kufanya yao kupitia server za (TCRA)na kuweza kufahamu kila wafanyacho viongozi hawa.
 
Jihadhari wa kutokutumia teknohama kwa kutukana, kufanya uhalifu au hujuma yoyote iwayo kwa kudhani kuna usiri. Itakula kwako.
 
Mkuu in short Internet service ina mambo mengi sana, ili uweze kutumia huwa Kuna DATA SENT na DATA RECEIVED na katikati yake kuna (DATA CONTROL ambayo mtumiaji hana uwezo wa kujua kinachoendelea) hapa ndipo Communication inakamilika.
Sitapenda Kuingia sana ndani ila utanisamehe sana mkuu.


Tatizo mnabishia msivyo vielewa wakuu !

Kuna haja ya kurudi kwenye mfumo wetu wa zamani wa posta, na kwa namna hii viongozi wetu wa serikali mnawalinda vipi na hizi system mpya katika kuhatarisha mambo nyeti ya nchi kuvuja kupitia "smartphones" endapo hackers wataweza kufanya yao kupitia server za (TCRA)na kuweza kufahamu kila wafanyacho viongozi hawa.


baadae mtakuja kuniambia hata email mnazotuma hawa jamaa wanaziona !


Jihadhari wa kutokutumia teknohama kwa kutukana, kufanya uhalifu au hujuma yoyote iwayo kwa kudhani kuna usiri. Itakula kwako.


Mkuu kwa upande wa internet mi hawa jamaa ata wasemeje kamwe aint going to fear them !
Tatizo mnaongea kisiasa sana !

Ok let me Quit there !
Atleast mkija na point za maana labda ntarudi!
 
Tatizo mnabishia msivyo vielewa wakuu !
baadae mtakuja kuniambia hata email mnazotuma hawa jamaa wanaziona !
Mkuu kwa upande wa internet mi hawa jamaa ata wasemeje kamwe aint going to fear them !
Tatizo mnaongea kisiasa sana !
Ok let me Quit there !
Atleast mkija na point za maana labda ntarudi!

Mkuu kuna mambo mengne huwa hayaruhusiwi kuwa Public, ndio maana hata kwenye viapo huwa wanasema HAWATATOA SIRI. Fuatilia kiundani na Sio kusoma maandishi yetu tu.
 
Leo nimecheka sana....watu wakionyesha utalaamu wao. Iko hivi hakuna mtu mwenye shida ya kutrace mawasiliano ya mtu yeyote yule. After all uta trace watu wangapi? Ila kuna vitu viwili vinafanyika.

1. Kwa kutumia keywords flani flani waweza kutumia aligorithim ku trace meseji zote zenye hizo keywords. Na kupata sender na receiver. Kutegemeana na frequency then una weza uka suspect mtu kwa mfano labda ni terorist au mwizi wa bank.
2. Unapokuwa ba list ya suspects inayotokana na chunguzi mbalimbali za kiintelejensia then unaweza sasa ku monitor closely communications za hao suspects yaweza kuwa text based au voice based.

Hii inawezekana kwa urahisi kama communication kati ya sender na receiver haziko encrypted. Kwa kuzuia uwezekano wa ku interfear mawasiliano watoa huduma wengi wana encrypt communication channel.

Kimsingi unaweza kuona kila kitu kinachopita kwenye communication channel. Isipokuwa kama ni encrypted kazi ya ziada itahitajika ili kung'amua ujumbe uliopo kwenye meseji otherwise unasoma tu moja kwa moja. Sina uhakika kama meseji za whatsapp zinakuwa encrypted. Kama haziko basi they can spy you.

Lakini kumbuka hakuna mtu anashida ya kukuspy kama unatembea na nani na nani. Spying inafanyika kwa vitu ambavyo ni nyeti kwa usalama wa nchi na dunia.

na katika cases kama hizo vyombo vyote vta usalama hushitikiana na watoa huduma kuweza kukuspy.

Kama unatumia hizi communication kwa mambo ya kawaida ya kijamii huna haja ya kuwa na wasi wasi.
 
1. Kwa kutumia keywords flani flani waweza kutumia aligorithim ku trace meseji zote zenye hizo keywords. Na kupata sender na receiver. Kutegemeana na frequency then una weza uka suspect mtu kwa mfano labda ni terorist au mwizi wa bank.

2. Unapokuwa ba list ya suspects inayotokana na chunguzi mbalimbali za kiintelejensia then unaweza sasa ku monitor closely communications za hao suspects yaweza kuwa text based au voice based.

Hii inawezekana kwa urahisi kama communication kati ya sender na receiver haziko encrypted. Kwa kuzuia uwezekano wa ku interfear mawasiliano watoa huduma wengi wana encrypt communication channel.

Kimsingi unaweza kuona kila kitu kinachopita kwenye communication channel. Isipokuwa kama ni encrypted kazi ya ziada itahitajika ili kung'amua ujumbe uliopo kwenye meseji otherwise unasoma tu moja kwa moja. Sina uhakika kama meseji za whatsapp zinakuwa encrypted. Kama haziko basi they can spy you..


Mkuu Text za Whatsapp zinakuwa Queued on WhatsApp server !

Na wao wanamtumia Receiver !
Hakuna connection kati ya Sender na Receiver ingekuwa connection ipo kati ya Sender na Receiver basi ingekuwa Rahisi !

Na baada ya wao kumtumia Receiver hapo awali walikua wana zi Wipe ! Sijajua kwa sasa !
 
Mkuu Text za Whatsapp zinakuwa Queued on WhatsApp server !

Na wao wanamtumia Receiver !
Hakuna connection kati ya Sender na Receiver ingekuwa connection ipo kati ya Sender na Receiver basi ingekuwa Rahisi !

Na baada ya wao kumtumia Receiver hapo awali walikua wana zi Wipe ! Sijajua kwa sasa !
Kuna connection mkuu kati ya sender na receiver ndo maana mawasiliano yanawezekana. Kuna communication channel kati ya sender na server na communication channel kati ya server na receiver. In either channel meseji ina weza kuwa intercepted through technics kama sniffing etc. The good think ni kwamba meseji zinakuwa encrypted. Hivyo hata sniffers zinaweza zisiambulie meaning.
 
Whatsapp imeshanunuliwa na Facebook hivyo hata server zake huenda zipo makao makuu ya Facebook na Facebook ndiye mpelelezi namba 1 duniani
 
Back
Top Bottom