Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Umenikumbusha .mjadala wa jana usiku mimi na washkaji zangu ulioenda hadi saa tisa usiku. Tulikuwa tunajaribu kuangalia ni kwa namna gani jamii yetu ilipo. Mawazo ambayo yalikubaliwa na wengi ni kuwa..
1. Wazazi wawalee watoto wao katika misingi ya dini tangu wakiwa wadogo. Hii itasaidia hata wakiwa watu wazima wawe na hofu ya kufanya vitu vingine ambayo jamii yetu ni viovu.
2. Wazazi wasiwafungulie dunia mapema watoto wao, kwa maana ya kuwa wasiiwaache watoto wakaanza kuyaona ya dunia wakiwa bado wadogo. Kuwapeleka watoto wadogo maeneo kama day care ni kutaka kumharibu mtoto tu. Mtoto kaa naye akue akiwa nawe. Akifika umri wa kwenda shule mpeleke.
3. Vijana wajitahidi kupata elimu yenye uwoano sawa kwa upande wa elimu ya dini na elimu ya dunia. Hii itawasaidia wao kujua pande zote za dunia hivyo kutokuwa rahisi kwao kuyumbishwa hovyo.
4. Na kila mtu awe na misingi yake binafsi ya kuifuata kwa moyo wake wote as long as inakubalika na jamii yetu.
1. Wazazi wawalee watoto wao katika misingi ya dini tangu wakiwa wadogo. Hii itasaidia hata wakiwa watu wazima wawe na hofu ya kufanya vitu vingine ambayo jamii yetu ni viovu.
2. Wazazi wasiwafungulie dunia mapema watoto wao, kwa maana ya kuwa wasiiwaache watoto wakaanza kuyaona ya dunia wakiwa bado wadogo. Kuwapeleka watoto wadogo maeneo kama day care ni kutaka kumharibu mtoto tu. Mtoto kaa naye akue akiwa nawe. Akifika umri wa kwenda shule mpeleke.
3. Vijana wajitahidi kupata elimu yenye uwoano sawa kwa upande wa elimu ya dini na elimu ya dunia. Hii itawasaidia wao kujua pande zote za dunia hivyo kutokuwa rahisi kwao kuyumbishwa hovyo.
4. Na kila mtu awe na misingi yake binafsi ya kuifuata kwa moyo wake wote as long as inakubalika na jamii yetu.