Tanzania: Chanzo cha kuporomoka kwa Maadili katika Jamii na Hatma ya Taifa!

kuna jamaa yangu mmoja ana kigari chake bana,,sasa akawa amepata kideu chake akawa anapoozea kidogo maisha aende...siku amempitia binti karibu na nyumbani hakuwepo,,,mama akajilengesha wakagawana namba,,,,,njemba akaja kumtoa out maza na kumgegeda pia
 
Salaam, wana badi wote
Kama nilivyoanza hapo juu, nyie mna mchango sana Katika hili, kwa mfano
1.ni kawaida mtoto wa kike maswala zake kujulikana kwa mama yake, na mama anaona sawa tu, tena mama anatoa comments, mwanangu Ana hela yule "?
2.n I kawaida mtoto wa kike kuaga anakwenda kulala kwa jamaa yake na mama anamwambia usisahau kurudi na Sukari eeeeh, asubuhi
3.na vile vile, mtoto wa kike anaweza kwenda lala kwa jamaa na mama anajua lakini a simwambie baba,
Mifano Michache tu hiyo, haya tunayaona huku kwetu tunapokaa ambapo dagaa mchele wa kukaangwa fungu 500 tu,
Sasa kina mama mbadilike, nyie ndio magharibi jamii kwa ujumla.
Mwenye haja aje
Ijumaa kareem kwenu
Cc. Ukhuty, chikira mtabiri, paprika.
Hali ngumu ya kimaisha tu.
 
Ni wazazi wachache mnooo wanaoweza kufanya hayo uliyosema hapo!!! Na huko ni kuendekeza tu njaa za kijinga...
Wengine ilikuwa kuingia nyumbani mwisho saa kumi na mbili na hamna kupinga..
Pamoja na umri nlokuwa nao Mamangu anaweza kunibamiza endapo nimekosa na naona ni Sawa maana nastahili kurekebishwa...
Kama kuna mzazi anaependa mwanae aharibikiwe basi nae aliyapata malezi mabovu
 
Wadau,

Ningeomba kuuliza, hivi kumomonyoka kwa uadilifu kwa watoto na vijana, nani wa kulaumiwa, wazazi? Watoto wenyewe?, Au jamii yote?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hata kuzielekeza fedha za rambirambi kwenye matumizi mbadala ni mmomonyoko wa maadili. Alaumiwe nani?
 
Jamii yote ni ya kulaumiwa ikiwemo Serikali.

wadau, ningeomba kuuliza , hivi kumomonyoka kwa uadilifu kwa watoto na vijana , nani wa kulaumiwa, wazazi? watoto wenyewe?, au jamii yote?
 
Ushoga, usagaji, chuki za udini??????

Waswahili tunayo matatizo yetu, sawa nakubali, ya kitamaduni, kisiasa, kiuchumi, kihistoria na kadhalika, lakini mengine so yetu,ni ya kuletewa. Kabisa, sababu ya ujinga, na uduni wetu watu wametufanya
Maabara ya ndoto na matamanio ya kidhalimu
Je tufanye nini kukabiliana na mfadhahiko huu na shinikizo La utandawazi, katika tasnia ya utamaduni, jadi mila na desturi???
 
Ushoga, usagaji, chuki za udini??????

Waswahili tunayo matatizo yetu, sawa nakubali, ya kitamaduni, kisiasa, kiuchumi, kihistoria na kadhalika, lakini mengine so yetu,ni ya kuletewa. Kabisa, sababu ya ujinga, na uduni wetu watu wametufanya
Maabara ya ndoto na matamanio ya kidhalimu
Je tufanye nini kukabiliana na mfadhahiko huu na shinikizo La utandawazi, katika tasnia ya utamaduni, jadi mila na desturi???
Paka tutakapo rudi kwenye Mila zetu tuka acha Mila zao za kishenzi.
 
Kama ulisoma lugha, neno lolote ambalo halimo kwenye lugha yako iwe mama au ya shuleni, ujue tendo au nomino ile ni ya kuletwa. Naanza na neno Safari, limo kwenye kamusi ya kiingereza na lugha nyingine nyingi lakini walitohoa toka kiswahili sababu hawakuwa na tabia ya kutembelea wanyama maana hawana.

Neno Jumbo linatokana na neno Jambo ambalo alipewa Tembo mkubwa sana aliyepelekwa England 18 something. Alikuwa ni yatima akawa anakua haraka mpaka wakasema ni mnyama ambaye alikuwa mkubwa sana. Baada ya yeye kugongwa na train Canada, jina lilibaki na ndiyo mwanzo wa Jumbo jets, Jumbo Burger and so on.

Nakuuliza sasa neno Usagaji, ushoga, mabasha, wasenge ni lugha gani? Je kuna lugha ya makabila ya bara???? Ukipata jibu utajua kuwa hizi mila zilikuwepo saana tu ila siyo bara sana sana Pwani na yawezekana tokana na mwingiliano wao na watu wa Middle east na far East. Nikosoe kama nimekosea.
 
Back
Top Bottom