Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him

Naona amewasilisha kama ilivoripotiwa na kamanda Mambo sasa. ...
Safi lakini...
Nimefurahi tanzania tuna bilionea 1 kati yq 2000 waliopo duniani. ..
We proud of you MO. .
Siku nyingine ukiongea na "mabeberu" 'watch it'...
Msifua mvuaimemnyeeshea.

Hakuna Mtanzania asiyefahamu sifa ya beberu. Beberu, liwe la mbuzi au kondoo, kazi yake kupanda na kuzalisha. Vipi mwenzetu kuita binaadam wenzio "mabeberu" walikupanda wakakuzalisha?
 
Hatari sana, mbona Mo anaficha ficha.. Aseme walikuwa wakitumia Lugha gani?, ni weupe au weusi, walitaka nini kwake? aliwapa au hakuwapa?? Kama hakujibu hayo maswali hakukuwa na haja ya kumhoji..
Mo bana! Acha kuzuga how come watekaji kutoka Mozambique na S.A walitaka hati za umiliki wa mashamba ya mkonge,
 
Msifua mvuaimemnyeeshea.

Hakuna Mtanzania asiyefahamu sifa ya beberu. Beberu, liwe la mbuzi au kondoo, kazi yake kupanda na kuzalisha. Vipi mwenzetu kuita binaadam wenzio "mabeberu" walikupanda wakakuzalisha?
Waulize CCM wenzio...
 
Nawewe unaanza kutengeneza script yako?
Katika kuwasiliana wao kwa kwao walitumia lugha yao asili,lakini kipindi wakimuaddress jambo basi wanatumia lugha ambayo yeye kama hadhira ataelewa fanani anahitaji nini (kwa uelewa wangu mdogo)
 
Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him


Tanzanian billionaire Mohammed Dewji has said that he asked his kidnapper to shoot him six days into being held captive.

His abduction, 12 months ago, outside a hotel gym in the country's main city, Dar es Salaam, sparked a huge manhunt.

Speaking to the media for the first time about his ordeal, Mr Dewji told the BBC that he was blindfolded and disorientated when he made the plea.

He was released after 10 days and says no ransom was paid.

"I was blindfolded and there were times they kept on threatening me with guns to my head and five days, six days into it I was thinking I was losing my eye sight," Mr Dewji told the BBC Focus on Africa's Audrey Brown.

"[The kidnapper] was like 'I'm going to shoot you' and I was like 'you can shoot me and kill me', because I was losing it. You get disoriented, you're tired, because it's a form of torture."


He said he could hear people looking for him.

"I kept hearing these chopper noises and thinking that maybe this chopper's looking for me."

Ten days after his abduction in October 2018, his company, MeTL, tweeted a quote from Mr Dewji saying that he had "returned home safely".

He has since thanked people for praying for his safety.

'No ransom paid'

Mr Dewji told the BBC that his kidnappers had abandoned him in a field, 15 minutes drive away from where he had been abducted at the Coliseum Hotel.

The authorities have not established a clear motive for the abduction and Mr Dewji is also in the dark about it.

"I still don't know why it happened," he said. "Obviously the intention looked like it was money that they wanted. In the end they left me without the money."

He believes the kidnappers gave up due to pressure built up from media and political attention.

A Tanzanian taxi driver, Mousa Twaleb, has been arrested and is awaiting trial. But he is the only suspect that is being held.

'Need to give back'

Mr Dewji believes there were around three or four foreigners from Mozambique and South Africa involved, who he believes have fled the country.

The billionaire says he has made some changes in his life; replacing the lights in his house with brighter bulbs and has stopped jogging alone on the beach.

He said being kidnapped has made him reflect that "you need to give back".

Mr Dewji is credited with turning his family business from a wholesale and retail enterprise into a pan-African conglomerate. MeTL has interests in textile manufacturing, flour milling, beverages and edible oils in at least six African countries.

Forbes magazine estimated his net worth at around $1.5bn (£980m), which would make him Africa's youngest billionaire.

He intends to invest almost $400m in agriculture in Tanzania in the next 24 months, not for profit but to make an "impact", he said.

Copyright 2019 BBC.
Hivyo alivyoeleza ndivyo kila mtanzania anajua hivyo, sasa hapo hakuna alichoongea zaidi ya kukopi mawazo ya watanzania wengi. utadhani sio yeye mhanga wa tukio.

Wahindi waoga sana.
 
Labda kudhulumiana kwenye biashara zao

Wafanyabiashara wana mambo mengi hatuwezi kujya5

Ila tushukuru alirudi ,hili Ndio la msingi
Hahahaaa wafanya biashara akina Magufuli??

Uhalifu woote ulifanyikia mita 200 kutoka ikulu.

Hahhaaaaaa wafanya biashara ni watu hatari.
 
Angekaa kimya tu !! Anazua maswali ya kejeli mengi tu ukute kama watekaji kweli walivunja kichupa hahaha
 
Wewe umesomea chini ya mti au ngumbaru nini??!!, , lini herufi zikawa ni namba??

Namba ni mfano, 1,2,3,4,----, Herufi ni mfano, A,B,C----, a,b,c, nk.
Hamnazo, so ebu taja namba mojawapo ya gari hapa tanzania
 
Angekaa kimya tu !! Anazua maswali ya kejeli mengi tu ukute kama watekaji kweli walivunja kichupa hahaha

Hawa madikteta wanakuwa na mbinu za kishenx sana saa nyingine! Waktaka ukasema kile wanachotaka wanaktafutia njemba zinakufanyia ''UFIRAUNI'' na huku waki record Live…! Ukisema kinyume chao wana weka mambo hadharani…!
 
Y
Hatari sana, mbona Mo anaficha ficha.. Aseme walikuwa wakitumia Lugha gani?, ni weupe au weusi, walitaka nini kwake? aliwapa au hakuwapa?? Kama hakujibu hayo maswali hakukuwa na haja ya kumhoji..
Yeye hakwenda pale kutaka kufurahisha watu alienda kueleza tukio lilivyokuwa sasa watu mnataka aeleze mtakayo wakati yeye ndio anayejua tukio lilivyo, msipende kulisha watu maneno.
 
Bado hajafunguka zaidi huko alikokua ni kwenye nyumbaau porini,pangoni ?Yaani accomodation ilikuaje kwa ujumla ?
Maji ya kunywa chakula,kulala ...huduma mughalab ya choo na bafu....
Hapa naona Mo angeiweka Public zaidi na angeruhusu maswali,siku 10 si masihara
 
Y

Yeye hakwenda pale kutaka kufurahisha watu alienda kueleza tukio lilivyokuwa sasa watu mnataka aeleze mtakayo wakati yeye ndio anayejua tukio lilivyo, msipende kulisha watu maneno.

Kwenye tukio lolote lazima kuna key points lazima ziwe zimetokea na hizo key points unaona watu wengi hapa wanajaribu kuzihoji..
 
Msifua mvuaimemnyeeshea.

Hakuna Mtanzania asiyefahamu sifa ya beberu. Beberu, liwe la mbuzi au kondoo, kazi yake kupanda na kuzalisha. Vipi mwenzetu kuita binaadam wenzio "mabeberu" walikupanda wakakuzalisha?
Ukiona hivyo yeye ni
Screenshot_2019-10-05-09-20-24.jpeg
 
Watawala wetu watambue kuwa hizi "movies" wanazozicheza zina "impact" kubwa sana kwa nchi yetu

Hivi sasa TZ inafahamika kuwa siyo mahali salama, kwa kuwa hata wafanyibiashara wakubwa kama Mo wanaweza kutekwa na watekaji wao wasiweze kukamatwa!
 
Back
Top Bottom