FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
Msifua mvuaimemnyeeshea.Naona amewasilisha kama ilivoripotiwa na kamanda Mambo sasa. ...
Safi lakini...
Nimefurahi tanzania tuna bilionea 1 kati yq 2000 waliopo duniani. ..
We proud of you MO. .
Siku nyingine ukiongea na "mabeberu" 'watch it'...
Hakuna Mtanzania asiyefahamu sifa ya beberu. Beberu, liwe la mbuzi au kondoo, kazi yake kupanda na kuzalisha. Vipi mwenzetu kuita binaadam wenzio "mabeberu" walikupanda wakakuzalisha?