Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 3,579
- 2,906
Rais Samia amepunguza kiasi cha Mikopo isiyolipika|Chechefu (NPL) kwenye mabenki, Kutoka 9.3% mwaka 2020 hadi 3.3% Mwaka 2025 ikiwa ni sawa na tofauti ya 6% hii inaonesha uwezo wa Serikali kuboresha mazingira ya biashara.
Hadi February 2025 jumla ya faida za mabenki ya biashara makubwa zimeongezeka hadi kufikia TZS1,194,800,000,000.
Kupungua kwa mikopo chechefu kutoka 9.3% hadi 3.2% kunaashiria Tanzania sasa mzunguko wa fedha (M3) umeongezeka na hivyo kufanya biashara nyingi kuweza kukopa na kurejesha mikopo bila mikwamo kama ilivyokuwa hapo awali.