Tanzania benki zanawiri

Tanzania benki zanawiri

Upuuzi mwingine wa CCM, ‘bi-tozo’ amekuwa asset manager sasa wa kila bank Tanzania.

Bank zenyewe sehemu kubwa ya mikopo yao ni payday lending na serikali inawakata watumishi juu kwa juu, kuna risk hapo kweli.

Kikubwa hapo ni taasisi za serikali kuweka hela zao kwenye banks savings, na hela hizo hizo kutumika kununulia bonds za serikali.
 
Kwa hiyo Serikali ndio imewalipia hao ma defaulter ?
Deni lake tu la Tirion 107 linamshinda ndio aje awalipie waliokwepa kulipa.
Halafu huelewi kitu wadeni wakubwa wa mabenki ni michezo ya ndani .
ukifuatili mahakama kuu kitengo cha biashara kuna kesi nyingi sana mabenki yanashtaki watu walioshindwa kulipa mikopo waliokopa halafu benki zinashindwa kesi.
Nilikutana na kesi ya ajabu eti benki imempeleka mdai wao wa mkopo mahakamani inamlalamikia mdaiwa aliweka dhamana mali yenye thamani ndogo kulipo mkopo aliopewa .
Kwa hiyo mama yenu atakuwa kawalipia wahuni madeni yao kama ni kweli , ila hata kama huyu mazeri ni kiazi sizani kama atakuwa kiazi namnahiyo
 
Upuuzi mwingine wa CCM, ‘bi-tozo’ amekuwa asset manager sasa wa kila bank Tanzania.

Bank zenyewe sehemu kubwa ya mikopo yao ni payday lending na serikali inawakata watumishi juu kwa juu, kuna risk hapo kweli.

Kikubwa hapo ni taasisi za serikali kuweka hela zao kwenye banks savings, na hela hizo hizo kutumika kununulia bonds za serikali.
Nakuamini siku zote
 
View attachment 3393487
Rais Samia amepunguza kiasi cha Mikopo isiyolipika|Chechefu (NPL) kwenye mabenki, Kutoka 9.3% mwaka 2020 hadi 3.3% Mwaka 2025 ikiwa ni sawa na tofauti ya 6% hii inaonesha uwezo wa Serikali kuboresha mazingira ya biashara.

Hadi February 2025 jumla ya faida za mabenki ya biashara makubwa zimeongezeka hadi kufikia TZS1,194,800,000,000.

Kupungua kwa mikopo chechefu kutoka 9.3% hadi 3.2% kunaashiria Tanzania sasa mzunguko wa fedha (M3) umeongezeka na hivyo kufanya biashara nyingi kuweza kukopa na kurejesha mikopo bila mikwamo kama ilivyokuwa hapo awali.
Pesa ipo ukiona haya
 
View attachment 3393487
Rais Samia amepunguza kiasi cha Mikopo isiyolipika|Chechefu (NPL) kwenye mabenki, Kutoka 9.3% mwaka 2020 hadi 3.3% Mwaka 2025 ikiwa ni sawa na tofauti ya 6% hii inaonesha uwezo wa Serikali kuboresha mazingira ya biashara.

Hadi February 2025 jumla ya faida za mabenki ya biashara makubwa zimeongezeka hadi kufikia TZS1,194,800,000,000.

Kupungua kwa mikopo chechefu kutoka 9.3% hadi 3.2% kunaashiria Tanzania sasa mzunguko wa fedha (M3) umeongezeka na hivyo kufanya biashara nyingi kuweza kukopa na kurejesha mikopo bila mikwamo kama ilivyokuwa hapo awali.
Awamu ya sita kazi imafanyoka
 
View attachment 3393487
Rais Samia amepunguza kiasi cha Mikopo isiyolipika|Chechefu (NPL) kwenye mabenki, Kutoka 9.3% mwaka 2020 hadi 3.3% Mwaka 2025 ikiwa ni sawa na tofauti ya 6% hii inaonesha uwezo wa Serikali kuboresha mazingira ya biashara.

Hadi February 2025 jumla ya faida za mabenki ya biashara makubwa zimeongezeka hadi kufikia TZS1,194,800,000,000.

Kupungua kwa mikopo chechefu kutoka 9.3% hadi 3.2% kunaashiria Tanzania sasa mzunguko wa fedha (M3) umeongezeka na hivyo kufanya biashara nyingi kuweza kukopa na kurejesha mikopo bila mikwamo kama ilivyokuwa hapo awali.
Kazi na utu sio
 
View attachment 3393487
Rais Samia amepunguza kiasi cha Mikopo isiyolipika|Chechefu (NPL) kwenye mabenki, Kutoka 9.3% mwaka 2020 hadi 3.3% Mwaka 2025 ikiwa ni sawa na tofauti ya 6% hii inaonesha uwezo wa Serikali kuboresha mazingira ya biashara.

Hadi February 2025 jumla ya faida za mabenki ya biashara makubwa zimeongezeka hadi kufikia TZS1,194,800,000,000.

Kupungua kwa mikopo chechefu kutoka 9.3% hadi 3.2% kunaashiria Tanzania sasa mzunguko wa fedha (M3) umeongezeka na hivyo kufanya biashara nyingi kuweza kukopa na kurejesha mikopo bila mikwamo kama ilivyokuwa hapo awali.
hii ni kweli kabisa
 
Back
Top Bottom