mrelbattawy
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 564
- 112
Inafurahisha na kutia moyo sasa kuona kwamba ndugu zetu wa Bara kwa mujibu wa Rasimu hii ya 2 wamefumbua macho na kufahamu identity yao kurudi katika jina lao la awali TANGANYIKA badala ya Tanzania Bara., Hongera sana Warioba mengine yatajiseti kwenye Bunge la Katiba.,