TANZANIA - A Nation without Heroes (by Mohamed Said)

TANZANIA - A Nation without Heroes (by Mohamed Said)

Status
Not open for further replies.
Mbona hujibu maswali? Vipi mikoani hakukuwa na wapigania uhuru? Mwanza akina mama lishe ndo walikuwa wako juu! Dont they deserve 'an honourable mention in your article'?
 
Mwana historia kaandika paper yake. Nyinyi badala ya kuja na amma kupinga kwa hoja amma kukubali kwa hoja. Mnahaha na kuanza kila aina ya matusi. Inaonesha wazi ni watu wa aina ipi.

Mngeanza na hao ma hero wenu. Sidhani kama mtaweza bila ya kuwataja hao hao aliowataja Mohamed Said.
Mohamed Said ahsantum. Uyaandikayo ni mambo ambayo wenye macho yasiyoona hawawezi kuyaona, wenye masikio yasiyosikia hawawezi kuyasikia na wenye maradhi kwenye nyoyo zao basi maradhi yatawazidi.
Paper yake inafaa sana kupresent misikitini
 
mkuu Nicholas kuna mtu kasema eti mkwawa wa kalenga naye ni mmoja wa mashujaa wa nchi hii.,nakuomba kwa heshima na tahadhima utudondoshee elimu kuhusu mhehe huyu.

Ajabu sana!
Mtu asiyefahamu historia ya mashujaa wa Tanzania hsjakamiliks
 
Wanaukumbi,
Nimeweka hapa (attach) mada niliyowasilisha Nairobi kwenye ''Seminar on The Fiftieth Anniversary of the African Independences Marginalized, Forgotten, and Revived Political Actors'' iliyoandaliwa na IFRA French Institute for Research in Africa na BIEA British Institute in East Africa kuanzia tarehe 23rd and 24th September 2013.
Ukiwa na Mania ni sawa na kubeba gunia la maharage... Ni utumwa...
 
mkuu Nicholas kuna mtu kasema eti mkwawa wa kalenga naye ni mmoja wa mashujaa wa nchi hii.,nakuomba kwa heshima na tahadhima utudondoshee elimu kuhusu mhehe huyu.

Aah ajulie wapi, zaidi ya kujua dini ya Mkwawa tu...
 
Title imeandikwa tofauti na conclusion, nilidhani anaelezea Tanzania kama nchi kumbe nia yake ni kundi fulani katika hiyo nchi. Mambo kama haya ndio yanawapa kazi na wakati mgumu Waumini fulani nchini Kenya kujitetea na kuonyesha kuwa wao si miongoni mwa wafanya ukatili!
Kuna baadhi ya aliowataja humu na nilipata bahati ya kuwafahamu lakini wangelikuwa na uwezo wa kurudia maisha yao kwa kiasi kikubwa wasingelikubaliana na mwelekeo huu. Ni maoni tu.
TANZANIA - A NATION WITHOUT HEROES by MOHAMED SAID
[TABLE="width: 632"]
[TR]
[TD]Conclusion
Where have the heroes and heroines of the struggle for independence gone to? Is it that Tanzania is an ungrateful nation and therefore hates its heroes?
....
....Muslims instead are in their own ways honouring the forgotten heroes of independence movement and in so doing invoking emotions particularly in the new generation to stand up against oppression as their forefathers had done against foreign domination. Muslim heroes of the......

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Paper yake inafaa sana kupresent misikitini

Wewe zako umeshawahi "kupresent" wapi? hii uionayo humu alialikwa:

''Seminar on The Fiftieth Anniversary of the African Independences Marginalized, Forgotten, and Revived Political Actors'' iliyoandaliwa na IFRA French Institute for Research in Africa na BIEA British Institute in East Africa kuanzia tarehe 23rd and 24th September 2013.

Jee, reformer, umeshawahi kupata mwaliko wa "kupresent" paper yoyote ile, japo kanisani?

 
Wewe zako umeshawahi "kupresent" wapi? hii uionayo humu alialkwa:



Jee, reformer, umeshawahi kupata mwaliko wa "kupresent" paper yoyote ile, japo kanisani?


kanisa siyo pango la wanyang'anyi! Unatoatoa tu kila kilicho akilini
 
Last edited by a moderator:
Wewe zako umeshawahi "kupresent" wapi? hii uionayo humu alialkwa:



Jee, reformer, umeshawahi kupata mwaliko wa "kupresent" paper yoyote ile, japo kanisani?


Da faiza bora umuulize weye ... Hana lolote huyu mshaufu tu ...
 
Last edited by a moderator:
Kabla ya Wajerumani ukimuondoa Muarabu ambaye ndiye mgeni wa kwanza, walikuwepo Wareno walioivamia Kilwa na watu waliopigana na Wareno kama nipo sahihi ni Waislamu! vipi leo tuelezwe kuwa waliopigania uhuru kabla ya Mjerumani kutia mguu Tanganyika ni watu ambao hawakuwa na dini?![/QUOT

Umenielewa lakini?hivi tanganyika ni kilwa peke yake?
 
Umenielewa lakini?hivi tanganyika ni kilwa peke yake?
Haya ndiyo maneno yako :
"Mapambano ya uhuru yalianza toka zamani kabla hata ya Wajerumani kutawala tanganyika ila mleta uzi hilo halimo.Wapo wapigania uhuru ambao hawakua na dini hizi za kuletwa wao wapo kimya"

Haya tueleze hao wapigania uhuru wasiokuwa na dini walipigana na nani kabla ya Mjerumani kuja Tanganyika.

..huchomoki hapa.
 
allah wenu sio mstaarabu!

Huyo Allah ndie alietufundisha kwa msaada wa kalamu na vile aliyetufundisha yale tusiyoyajua. Na kututaka kufanya jitihada kubwa katika kutafuta ilmu.

Huyu sie mola wa mapande matatu anayakufundisha KUKARIRI mambo.

TUJADILI MADA. kwani kuna mengi sana ndanimwe ya kutafakuri.

Pole sana
 
kanisa siyo pango la wanyang'anyi! Unatoatoa tu kila kilicho akilini

jamani hawa wenzenu wamekatazwa hata kusoma Biblia bali wamerahisishiwa na kupewa katekism na Chuo kidogo cha sala. Bibla wanasoma makasisi tu.

Hivyo hatakiwa kufikiri zaidi kila kitu kwake kimerahisishwa na hawaruhusiwi kuhoji.
 
another season of ngano.
from kariakoo na kipata yote haya ni kutokana ukristo wa Nyerere angekuwa muslim yasingetokea haya.

mzee mudi acha hila... matokeo ya ngano zako ndio tindikali wanayomwagiwa mapadri na mashehe wa bakwata. uchomaji wa makanisa n.k

mzee wangu tazama mbegu unayoipAnda kwa kizazi kijAcho cha Tanzania
 
Nani aliemtukana? Mbona wataka palia moto,
Haya mambo yalishapita kitambo jama kulaumu wafu na makosa yao haina tija kwa taifa na watu wake, umoja usawa upendo democracy elimu ndio vitu vya kusisitiza na kurekebisha saa hizi not these past things.
Hapo ni kubomoa tu badala ya kujenga na wewe na akili zako una support,
what is the use of your head sister
 
Katika dunia hii ya sasa ya kidemokrasia watu wako huru kuongea. tena kukiwa na hoja nzito hujibiwa kwa hoja nzito. majibu mepesi, matusi na hata vitisho havina nafasi katika ulimwengu huu huru.

wale wanaojiamini wako sahihi na tunaodhani wana uelewa wa mambo, yaweza kuwa ni baadhi ya viongozi wetu, wawe wa kisiasa au hata kidini wasipotoshe umma wao kwani umma unahitaji majibu Na Kama matusi ndio njia sahihi ya majibu. Bali ujichunguze ikiwa nyie hamjazaliwa kutokana Na kizazi cha zinaa. Kutokana Na wazaze wale ambao walikuja kubariki zinaa zao baadae sana. Na kusema wanabariki ndoa
 
Mohamed Said.
That is history ndugu, it has passed long ago, let us both shape the future now.
Usiandike tena hizi mada hazina manufaa, dini zote hizo za kina sykes na nyerere zimetoka ng'ambo sheikh, for once let us be one people inside one territory, maana just think for a moment, haya hao heroes wamejulikana sasa, itawafaidia itatufaidi itakufaidia nini haswa?
Pamoja mzee one love
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom