TANROADS & TARURA wekeni mawasiliano mpate taarifa za hali ya barabara kwa haraka

Twin Tower

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
2,129
2,982
Hizi taasisi ziendane na wakati, maana ni muhimu ktk upatikanajibwa huduma za mawasiliano kwa njia ya barabara.

Hali ilivyo sasa inaonekana kama hawana utaratibu wa kukagua barabara ama wanapuuzia.

Tuiombe wizara husika ihakikishe hizi taasisi zinaweka namba, kufungua akaunti katika mitandao ya kijamii ili wananchi wawe wanaripoti haraka vihatarishi vyote barabarani.

Nawao pia wawe wanajibu kuonesha wanetatua changamoto hizo. Hii itasaidia sana ufanisi wao lakini pia kuwa na usalama barabarani kwa watumiaji wote.

Nawasilisha..

Mapinduziiiiiiii……. Daimaaaaaaaaa.
 
Hizi taasisi ziendane na wakati, maana ni muhimu ktk upatikanajibwa huduma za mawasiliano kwa njia ya barabara.

Hali ilivyo sasa inaonekana kama hawana utaratibu wa kukagua barabara ama wanapuuzia.

Tuiombe wizara husika ihakikishe hizi taasisi zinaweka namba, kufungua akaunti katika mitandao ya kijamii ili wananchi wawe wanaripoti haraka vihatarishi vyote barabarani.

Nawao pia wawe wanajibu kuonesha wanetatua changamoto hizo. Hii itasaidia sana ufanisi wao lakini pia kuwa na usalama barabarani kwa watumiaji wote.

Nawasilisha..

Mapinduziiiiiiii……. Daimaaaaaaaaa.
Yaani!kuna Barbara hapa makao makuu ya nchi Tena katikati mbovu kwa mvua hii balaa!Utadhani hamna wazuri.
 
Hizi taasisi ziendane na wakati, maana ni muhimu ktk upatikanajibwa huduma za mawasiliano kwa njia ya barabara.

Hali ilivyo sasa inaonekana kama hawana utaratibu wa kukagua barabara ama wanapuuzia.

Tuiombe wizara husika ihakikishe hizi taasisi zinaweka namba, kufungua akaunti katika mitandao ya kijamii ili wananchi wawe wanaripoti haraka vihatarishi vyote barabarani.

Nawao pia wawe wanajibu kuonesha wanetatua changamoto hizo. Hii itasaidia sana ufanisi wao lakini pia kuwa na usalama barabarani kwa watumiaji wote.

Nawasilisha..

Mapinduziiiiiiii……. Daimaaaaaaaaa.
Mapinduziiiiiiii……. Daimaaaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi taasisi ziendane na wakati, maana ni muhimu ktk upatikanajibwa huduma za mawasiliano kwa njia ya barabara.

Hali ilivyo sasa inaonekana kama hawana utaratibu wa kukagua barabara ama wanapuuzia.

Tuiombe wizara husika ihakikishe hizi taasisi zinaweka namba, kufungua akaunti katika mitandao ya kijamii ili wananchi wawe wanaripoti haraka vihatarishi vyote barabarani.

Nawao pia wawe wanajibu kuonesha wanetatua changamoto hizo. Hii itasaidia sana ufanisi wao lakini pia kuwa na usalama barabarani kwa watumiaji wote.

Nawasilisha..

Mapinduziiiiiiii……. Daimaaaaaaaaa.
Pale gongo la mboto ,,,njia panda kuelekea chuo cha Kampala International University,,,,kuna bonge la shimo ,, lililosababishwa na mvua ,,kunyesha,,,ni mwez wa pili sasa,,,hakuna kinachoendelea,,@Tarura mko wap?
 
Kuna miti inakaribia kudondokea barabarani,
Kuna mawe, udondo sehemu zenye milima yamedondokea barabarani, mitalo imefukiwa n.k
 
Back
Top Bottom