ulanzi mtamu
Senior Member
- May 19, 2012
- 102
- 11
Wadau naomba kuuliza kwa yeyote yule ajuaye kuhusu ajira za tanroads mtwara kama zimetangazwa au zinakaribia kutangazwa...
Wadau naomba kuuliza kwa yeyote yule ajuaye kuhusu ajira za tanroads mtwara kama zimetangazwa au zinakaribia kutangazwa...
hujaona kama nauliza?
Pitia vizuri bandiko lako, naamini swali lilitakiwa kuwa interview itaitwa lini na sio ajira itatangazwa lini.
kumbe walishatangaza nafasi za kazi? ilikua lini?