TANROADS huwa wanaitaje interview?

TANROADS huwa wanaitaje interview?

Cataliyya

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
781
Reaction score
378
Wana jf, kuna nafasi zimetoka tanroads hapa juzi kati, tembelea zoom tanzania utaziona deadline bado, sasa nataka kujua je hawa jamaa hua wanaitaje interview? ni kwa simu? au web yao? maana application imekua adressed kwa Regional manager tanroads, mwenye kufahamu hili anijuze
 
Huwa wanapiga cm mkuu we omba then tulia ukimwomba mola
 
Wana jf, kuna nafasi zimetoka tanroads hapa juzi kati, tembelea zoom tanzania utaziona deadline bado, sasa nataka kujua je hawa jamaa hua wanaitaje interview? ni kwa simu? au web yao? maana application imekua adressed kwa Regional manager tanroads, mwenye kufahamu hili anijuze
Niliwahi kuitwa interview yao Moshi mjini, niliitwa kupitia gazeti la Mwananchi km sijakosea
 
niliitwa songea kwa kutumia simu
 
Naomba kuuliza wana jf kwa wale wa juz tar 27 waliopeleka barua SUMATRA za maombi ya kaz mbalimbali kunaambao wameitwa ktk interview
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom