kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 637
- 555
Habari zenu wanajukwaa,
Nilikuwa naulizia zile nafasi walitoa TANROAD mkoa wa Morogoro kama wameshaita watu kwenye usaili ama ndio tuendelee kuvuta benchi na kusubiria zaidi.
Deadline ilikuwa mwezi wa sita.
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Nilikuwa naulizia zile nafasi walitoa TANROAD mkoa wa Morogoro kama wameshaita watu kwenye usaili ama ndio tuendelee kuvuta benchi na kusubiria zaidi.
Deadline ilikuwa mwezi wa sita.
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app