Tangu tukiwa wadogo Haji Manara wanawake hawakumpenda

Tangu tukiwa wadogo Haji Manara wanawake hawakumpenda

Trust me, wanawake wengi wanamhukumu kwa rangi yake, unamuona hv alivyo sasa ni kutokana ana jina tayari ndo mana anatoka na hao wanawake maarufu ila angekuwa kapuku kama sisi wengine ndo ungeona uhalisia namna anavyokataliwa na wanawake kisa rangi yake au angepata wanawake wa kawaida sana wa mtaani ila sio hao watu maarufu.
Na kitu hajui angejitafutia zake mke huko vijijini akawa mke na akamuweka mbali na midrama yake cha muhimu atafute hela mke ampe heshima nyumbani, haji tatizo kamdomo
 
Acheni hizo bandugu, Kuna mstari mwembamba baina ya utani na dhihaka!

Hajji achana na hawa mabinti mtandao! Mrudie Moja ya wanawake wako wa zamani, ishi maisha ya kawaida! Achana na mitandao! Utavunjiwa heshima!

After all una ilm (maarifa) ya dini! Ni muda Sasa kurudi nyumbani mdogo mdogo!
Huyo anafukuzana na upepo ushauri wako hawezi kuuelewa bado hajadharirika vizuri mpaka aoe kitoto cha afu2005
 
Wanawake hawana fomula


Mimi ni muongeaji ila sikosi papuchi mtaani

Relax mkuu

Wale k*ma hawana fomula
Wanawake wanapenda sana umbea, ukiwa muongeaji utawakata sana kila uchwao.
Nipo kikazi mkoa fulani hapa, nimempata mdada anamiliki duka lake na yuko poa haswa kwa uchangamfu wangu na maneno mengi sana ya hapa na pale.

Kuna shemeji yangu ndio alinipa hiyo fomula kuwa wanawake wanapenda sana kukaa na kumsikiliza mwanaume anayeongea sana na kuwachekesha, kwakuwa umbea ni sehemu ya maisha yao.

Kwa mantiki hiyo bwana Haji asiwekwe kwenye kundi la waongeaji ama wazungumzaji sana, labda tuseme ana Gubu.
Tena Gubu la Kizaramo haswa, ama tuseme Nongwa.
 
Wanawake wanapenda sana umbea, ukiwa muongeaji utawakata sana kila uchwao.
Nipo kikazi mkoa fulani hapa, nimempata mdada anamiliki duka lake na yuko poa haswa kwa uchangamfu wangu na maneno mengi sana ya hapa na pale.

Kuna shemeji yangu ndio alinipa hiyo fomula kuwa wanawake wanapenda sana kukaa na kumsikiliza mwanaume anayeongea sana na kuwachekesha, kwakuwa umbea ni sehemu ya maisha yao.

Kwa mantiki hiyo bwana Haji asiwekwe kwenye kundi la waongeaji ama wazungumzaji sana, labda tuseme ana Gubu.
Tena Gubu la Kizaramo haswa, ama tuseme Nongwa.
Gubu ni nini ?
 
Tukiwa watoto pale mnazi mmoja primary school enzi za headteach Mzee Chalila
Tulipata mwanafunzi mgeni tukaambiwa ametoka Bunge Primary School .
Mimi somo la Hisabati lilinipiga chenga ila masomo yote yakujieleza pamoja na English nilikuwa vizuri sana,huyu mgeni yeye alizijua hesabu kwa kiasi chake.

Tulijikuta tumekuwa karibu kwa lengo la kusaidiana masomo

Darasa letu lilikuwana watoto zaidi ya 100,na kulikuwa na A,B,C,D.
Mwaka wetu tulihitimi zaidi ya 400. Kwa hiyo ili kujuana lazima kuwe na kitu cha kuwaunganisha.
Haji Manara hakuwa kilaza darasani ila ninachokumbuka kila alipotongoza aliambulia kibuti,aliishia kula kwa macho,mademu zetu sliishia kuwaita shemeji

Aliishia kuwanunulia mihogo pale kwa baharia Said Mihogo lakini ikifika muda wa kupewa tunda anazungushwa tuu

Yanayomkuta leo hayakuanza jana wala juzi,ameteseka sana juu ya mapenzi kitambo.

Hapa naongelea early 90s pliz

Hapa tusihusishe rangi pliz pliz,Babu Sikare alikuwa albino ila watoto wazuri wote walimpenda kuanzia shule mpaka mitaani na aliwafaidi kweli.

Familia ya akina Possi nimewajua kitambo tu,wasichana walikuwa wanajigonga kwao mpaka mama yao anawakimbiza.

Haji ana misifa sana,kipindi tunadoma alikuwa akisema yeye sio mtanzania kazaliwa ulayana kweli alikuwa na passport ya nchi fulani ya ulaya,siikumbuki,alikuwa akitembea nayo kila nahali
Unajaza mada humu kumbe ni ugonjwa wa muda mrefu, nadhani mods hawatahangaika na wewe tena
 
Wanawake wanapenda sana umbea, ukiwa muongeaji utawakata sana kila uchwao.
Nipo kikazi mkoa fulani hapa, nimempata mdada anamiliki duka lake na yuko poa haswa kwa uchangamfu wangu na maneno mengi sana ya hapa na pale.

Kuna shemeji yangu ndio alinipa hiyo fomula kuwa wanawake wanapenda sana kukaa na kumsikiliza mwanaume anayeongea sana na kuwachekesha, kwakuwa umbea ni sehemu ya maisha yao.

Kwa mantiki hiyo bwana Haji asiwekwe kwenye kundi la waongeaji ama wazungumzaji sana, labda tuseme ana Gubu.
Tena Gubu la Kizaramo haswa, ama tuseme Nongwa.
Aahaaaa

Hapo kwenye gubu umegusa pale pale
 
Tukiwa watoto pale mnazi mmoja primary school enzi za headteach Mzee Chalila
Tulipata mwanafunzi mgeni tukaambiwa ametoka Bunge Primary School .
Mimi somo la Hisabati lilinipiga chenga ila masomo yote yakujieleza pamoja na English nilikuwa vizuri sana,huyu mgeni yeye alizijua hesabu kwa kiasi chake.

Tulijikuta tumekuwa karibu kwa lengo la kusaidiana masomo

Darasa letu lilikuwana watoto zaidi ya 100,na kulikuwa na A,B,C,D.
Mwaka wetu tulihitimi zaidi ya 400. Kwa hiyo ili kujuana lazima kuwe na kitu cha kuwaunganisha.
Haji Manara hakuwa kilaza darasani ila ninachokumbuka kila alipotongoza aliambulia kibuti,aliishia kula kwa macho,mademu zetu sliishia kuwaita shemeji

Aliishia kuwanunulia mihogo pale kwa baharia Said Mihogo lakini ikifika muda wa kupewa tunda anazungushwa tuu

Yanayomkuta leo hayakuanza jana wala juzi,ameteseka sana juu ya mapenzi kitambo.

Hapa naongelea early 90s pliz

Hapa tusihusishe rangi pliz pliz,Babu Sikare alikuwa albino ila watoto wazuri wote walimpenda kuanzia shule mpaka mitaani na aliwafaidi kweli.

Familia ya akina Possi nimewajua kitambo tu,wasichana walikuwa wanajigonga kwao mpaka mama yao anawakimbiza.

Haji ana misifa sana,kipindi tunadoma alikuwa akisema yeye sio mtanzania kazaliwa ulayana kweli alikuwa na passport ya nchi fulani ya ulaya,siikumbuki,alikuwa akitembea nayo kila nahali
Mbona mwijaku haachwi na anamdomo kama mtoto wa kike..
Shida ya haji ni ulevi na masigara anayovuta na ni womanizer.
 
Wanawake wanapenda sana umbea, ukiwa muongeaji utawakata sana kila uchwao.
Nipo kikazi mkoa fulani hapa, nimempata mdada anamiliki duka lake na yuko poa haswa kwa uchangamfu wangu na maneno mengi sana ya hapa na pale.

Kuna shemeji yangu ndio alinipa hiyo fomula kuwa wanawake wanapenda sana kukaa na kumsikiliza mwanaume anayeongea sana na kuwachekesha, kwakuwa umbea ni sehemu ya maisha yao.

Kwa mantiki hiyo bwana Haji asiwekwe kwenye kundi la waongeaji ama wazungumzaji sana, labda tuseme ana Gubu.
Tena Gubu la Kizaramo haswa, ama tuseme Nongwa.
Inawezekana
 
Acheni hizo bandugu, Kuna mstari mwembamba baina ya utani na dhihaka!

Hajji achana na hawa mabinti mtandao! Mrudie Moja ya wanawake wako wa zamani, ishi maisha ya kawaida! Achana na mitandao! Utavunjiwa heshima!

After all una ilm (maarifa) ya dini! Ni muda Sasa kurudi nyumbani mdogo mdogo!
Ushauri makini saana👿
 
Acheni hizo bandugu, Kuna mstari mwembamba baina ya utani na dhihaka!

Hajji achana na hawa mabinti mtandao! Mrudie Moja ya wanawake wako wa zamani, ishi maisha ya kawaida! Achana na mitandao! Utavunjiwa heshima!

After all una ilm (maarifa) ya dini! Ni muda Sasa kurudi nyumbani mdogo mdogo!
walishavujisha mpaka picha zake za utupu, unataka avunjiwe heshima mara ngapi ?
 
Ulipogusia kwenye kusema yeye sio mtanzania ndiyo nimejua na kukubali kuwa kweli unamjua .

Haji amewahi kuwa mwalimu wangu ila akipenda sana enzi hizo kusema yeye sio mtanzania na pia tukakutana kwenye chama fulani akiwa naye ni mwanachama ila kiongozi wa ngazi fulani nako hakusita kuendelea kutuchimba biti za kitoto .

Ila itoshe kusema Manara ana kimavi fulani kinachotokana na kamdomo kake .

Ukimuona mwambie katogori anamsalimia sana anitafute
Yes Haji sio mtanzania. Amezaliwa Amsterdam, Uholanzi.
 
Watoto wa primary mlikuwa mnatongoza na kula mademu???
Unaijua Mnazi Mmoja Primary lakini?
Ukianza darasa la kwanza tu we ni muhuni tayari
Shule iko kati ya kariakoo,upanga na city center,tulivuta bangi tukiwa darada la nne
Tumeanza uhuni tukiwa watoto
Hakuna aliyesoma mnazi mmoja akawa falafala,
 
Tukiwa watoto pale Mnazi Mmoja Primary School enzi za Headteacher Mzee Chalila.
Tulipata mwanafunzi mgeni tukaambiwa ametoka Bunge Primary School .
Mimi somo la Hisabati lilinipiga chenga ila masomo yote yakujieleza pamoja na English nilikuwa vizuri sana,huyu mgeni yeye alizijua hesabu kwa kiasi chake.

Tulijikuta tumekuwa karibu kwa lengo la kusaidiana masomo

Darasa letu lilikuwana watoto zaidi ya 100,na kulikuwa na A,B,C,D.
Mwaka wetu tulihitimi zaidi ya 400. Kwa hiyo ili kujuana lazima kuwe na kitu cha kuwaunganisha.
Haji Manara hakuwa kilaza darasani ila ninachokumbuka kila alipotongoza aliambulia kibuti,aliishia kula kwa macho,mademu zetu sliishia kuwaita shemeji

Aliishia kuwanunulia mihogo pale kwa baharia Said Mihogo lakini ikifika muda wa kupewa tunda anazungushwa tuu

Yanayomkuta leo hayakuanza jana wala juzi,ameteseka sana juu ya mapenzi kitambo.

Hapa naongelea early 90s pliz

Hapa tusihusishe rangi pliz pliz,Babu Sikare alikuwa albino ila watoto wazuri wote walimpenda kuanzia shule mpaka mitaani na aliwafaidi kweli.

Familia ya akina Possi nimewajua kitambo tu,wasichana walikuwa wanajigonga kwao mpaka mama yao anawakimbiza.

Haji ana misifa sana,kipindi tunasoma alikuwa akisema yeye sio Mtanzania kazaliwa Ulaya na kweli alikuwa na Passport ya nchi fulani ya Ulaya,siikumbuki,alikuwa akitembea nayo kila Mahali
Alikuwa wa kutosha,vijana wa Sasa kupigwa kibuti!
 
Back
Top Bottom