Tangu tukiwa wadogo Haji Manara wanawake hawakumpenda

Tangu tukiwa wadogo Haji Manara wanawake hawakumpenda

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,969
Tukiwa watoto pale Mnazi Mmoja Primary School enzi za Headteacher Mzee Chalila.
Tulipata mwanafunzi mgeni tukaambiwa ametoka Bunge Primary School .
Mimi somo la Hisabati lilinipiga chenga ila masomo yote yakujieleza pamoja na English nilikuwa vizuri sana,huyu mgeni yeye alizijua hesabu kwa kiasi chake.

Tulijikuta tumekuwa karibu kwa lengo la kusaidiana masomo

Darasa letu lilikuwana watoto zaidi ya 100,na kulikuwa na A,B,C,D.
Mwaka wetu tulihitimi zaidi ya 400. Kwa hiyo ili kujuana lazima kuwe na kitu cha kuwaunganisha.Nukajikuta niko karibu na Haji

Haji Manara hakuwa kilaza darasani ila ninachokumbuka kila alipotongoza aliambulia kibuti,aliishia kula kwa macho,mademu zetu sliishia kuwaita shemeji

Aliishia kuwanunulia mihogo pale kwa baharia Said Mihogo lakini ikifika muda wa kupewa tunda anazungushwa tuu

Kumbuka miaka hiyo tunaanza la kwanza na miaka 8 hadi 10 so darasa la tano unakuwa umeshabalehe na binti anakuwa ameshavunja ungo,

Pili shule yetu ilikuwa ni moja ya shule zenye watoto wahuni sana kwa Dar ya enzi zile,bangi pamoja na kuanza mapenzi shuleni ilikuwa kawaida

Yanayomkuta leo hayakuanza jana wala juzi,ameteseka sana juu ya mapenzi kitambo.

Hapa naongelea MId 80s to early 90s tuelewane.

Hapa tusihusishe rangi pliz pliz,Babu Sikare almaarufu kama Albino Fulani,msanii wa Hip Hop,alikuwa albino ila watoto wazuri wote walimpenda kuanzia shule mpaka mitaani na aliwafaidi kweli.

Familia ya akina Possi wamekulia Tabata magengeni nimewajua kitambo tu,wasichana walikuwa wanajigonga kwao mpaka mama yao anawakimbiza.

Haji ana misifa sana,kipindi tunasoma alikuwa akisema yeye sio Mtanzania kazaliwa Ulaya na kweli alikuwa na Passport ya nchi fulani ya Ulaya,siikumbuki,alikuwa akitembea nayo kila Mahali
 
Tukiwa watoto pale mnazi mmoja primary school enzi za headteach Mzee Chalila
Tulipata mwanafunzi mgeni tukaambiwa ametoka Bunge Primary School .
Mimi somo la Hisabati lilinipiga chenga ila masomo yote yakujieleza pamoja na English nilikuwa vizuri sana,huyu mgeni yeye alizijua hesabu kwa kiasi chake.

Tulijikuta tumekuwa karibu kwa lengo la kusaidiana masomo

Darasa letu lilikuwana watoto zaidi ya 100,na kulikuwa na A,B,C,D.
Mwaka wetu tulihitimi zaidi ya 400. Kwa hiyo ili kujuana lazima kuwe na kitu cha kuwaunganisha.
Haji Manara hakuwa kilaza darasani ila ninachokumbuka kila alipotongoza aliambulia kibuti,aliishia kula kwa macho,mademu zetu sliishia kuwaita shemeji

Aliishia kuwanunulia mihogo pale kwa baharia Said Mihogo lakini ikifika muda wa kupewa tunda anazungushwa tuu

Yanayomkuta leo hayakuanza jana wala juzi,ameteseka sana juu ya mapenzi kitambo.

Hapa naongelea early 90s pliz
😂😂😂😂Ukishaona Ivo mtu ni bora uamue kiitwa padre itapendeza sana
 
Tukiwa watoto pale mnazi mmoja primary school enzi za headteach Mzee Chalila
Tulipata mwanafunzi mgeni tukaambiwa ametoka Bunge Primary School .
Mimi somo la Hisabati lilinipiga chenga ila masomo yote yakujieleza pamoja na English nilikuwa vizuri sana,huyu mgeni yeye alizijua hesabu kwa kiasi chake.

Tulijikuta tumekuwa karibu kwa lengo la kusaidiana masomo

Darasa letu lilikuwana watoto zaidi ya 100,na kulikuwa na A,B,C,D.
Mwaka wetu tulihitimi zaidi ya 400. Kwa hiyo ili kujuana lazima kuwe na kitu cha kuwaunganisha.
Haji Manara hakuwa kilaza darasani ila ninachokumbuka kila alipotongoza aliambulia kibuti,aliishia kula kwa macho,mademu zetu sliishia kuwaita shemeji

Aliishia kuwanunulia mihogo pale kwa baharia Said Mihogo lakini ikifika muda wa kupewa tunda anazungushwa tuu

Yanayomkuta leo hayakuanza jana wala juzi,ameteseka sana juu ya mapenzi kitambo.

Hapa naongelea early 90s pliz
If a woman told you that she had 'no feelings for you,' she was lying. Women don't have any feelings, they only care for money.
She left you because you were broke, not because of any non existent feelings.
 
Acheni hizo bandugu, Kuna mstari mwembamba baina ya utani na dhihaka!

Hajji achana na hawa mabinti mtandao! Mrudie Moja ya wanawake wako wa zamani, ishi maisha ya kawaida! Achana na mitandao! Utavunjiwa heshima!

After all una ilm (maarifa) ya dini! Ni muda Sasa kurudi nyumbani mdogo mdogo!
 
Tatizo lipo kwenye tabia zake,
Kuhusu ulemavu wake hawezi kukosa mwanamke wa kumpenda.
Hatakiwi kuhukumiwa kwa rangi yake sababu hilo lipo nje ya uwezo wake.
Hakuna aliyeongelea ngozi, lnina narafiki albinos wengi,babu Sikare,nilisoma nae Dakawa,Wale akina Possi nimecheza nao utotoni na walikuwa na magirlfriend tena warembo no dramas
Haji ana misifa sana.alikuwa anatutambia kuwa sio mtanzania,kazaliwa ulaya😃
 
Tukiwa watoto pale mnazi mmoja primary school enzi za headteach Mzee Chalila
Tulipata mwanafunzi mgeni tukaambiwa ametoka Bunge Primary School .
Mimi somo la Hisabati lilinipiga chenga ila masomo yote yakujieleza pamoja na English nilikuwa vizuri sana,huyu mgeni yeye alizijua hesabu kwa kiasi chake.

Tulijikuta tumekuwa karibu kwa lengo la kusaidiana masomo

Darasa letu lilikuwana watoto zaidi ya 100,na kulikuwa na A,B,C,D.
Mwaka wetu tulihitimi zaidi ya 400. Kwa hiyo ili kujuana lazima kuwe na kitu cha kuwaunganisha.
Haji Manara hakuwa kilaza darasani ila ninachokumbuka kila alipotongoza aliambulia kibuti,aliishia kula kwa macho,mademu zetu sliishia kuwaita shemeji

Aliishia kuwanunulia mihogo pale kwa baharia Said Mihogo lakini ikifika muda wa kupewa tunda anazungushwa tuu

Yanayomkuta leo hayakuanza jana wala juzi,ameteseka sana juu ya mapenzi kitambo.

Hapa naongelea early 90s pliz
Hivi ni kweli au ni KIKI tu?
 
Tatizo lipo kwenye tabia zake,
Kuhusu ulemavu wake hawezi kukosa mwanamke wa kumpenda.
Hatakiwi kuhukumiwa kwa rangi yake sababu hilo lipo nje ya uwezo wake.
Trust me, wanawake wengi wanamhukumu kwa rangi yake, unamuona hv alivyo sasa ni kutokana ana jina tayari ndo mana anatoka na hao wanawake maarufu ila angekuwa kapuku kama sisi wengine ndo ungeona uhalisia namna anavyokataliwa na wanawake kisa rangi yake au angepata wanawake wa kawaida sana wa mtaani ila sio hao watu maarufu.
 
Back
Top Bottom