covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,876
- 10,593
Wanahitajika watu wa nne 4 tu wa Field Personnel.
🔍 Majukumu:
mwombaji awe mkazi au mwenyeji wa mojawapo katika maeneo haya maana ndio kazi itapofanyika kwa sasa
🔍 Majukumu:
- Kutekeleza kazi za field kulingana na maelekezo na ratiba iliyowekwa.
- Kukusanya taarifa muhimu na data katika mazingira yakazi.
- Kufanya usimamizi wa malipo ya ofisi kwenye eneo la field.
- Kuripoti mara kwa mara kuhusu maendeleo ya kazi na changamoto yoyote yanayojitokeza.
- Kufanya kazi kwa ushirikiano na timu ya wenzako na kutoa taarifa kwa wasimamizi.
- elimu ni certificate, diploma au degree
- Uwezo wa kufanya kazi kwa usahihi na kujitegemea.
- Uwezo wa kuelewa na kufuata maelekezo ya kazi.
- Uzoefu katika kukusanya data au taarifa ni sifa ya ziada
- Uwe na Uwezo wa kufanya kazi katika mazingira tofauti tofauti ndani ya jiji la dar es salaam
mwombaji awe mkazi au mwenyeji wa mojawapo katika maeneo haya maana ndio kazi itapofanyika kwa sasa
- sinza, mwenge, kijitonyama
- mwananyamala, Kinondoni, osterbay
- mikocheni kawe, mbezi chini,Bahari beach na ununio
- mbezi juu, goba, salasala, mbezi lous, kimara na ubungo
- tegeta, boko, bunju, bweni