Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Hujambo lakini best! Hutaki kwenda majuu wewe?
cjambo best, ndio nasubiria kwako, mambo yako yakienda sawa unifanyie na mie connection.
Hujambo lakini best! Hutaki kwenda majuu wewe?
cjambo best, ndio nasubiria kwako, mambo yako yakienda sawa unifanyie na mie connection.
Hebu niwezeshe basi si umeona kiingilio $ 300 tu na bidhaa ikununuliwa hairudishwi listi itakuwa imeandikwa "No refund once sold
masanilo na hii sredi...!Hebu niwezeshe basi si umeona kiingilio $ 300 tu na bidhaa ikununuliwa hairudishwi listi itakuwa imeandikwa "No refund once sold"
wakati naendelea kudunduliza wewe toa yako hata cent ya mwisho nitakurudishia tufanikisha hii mambo.
Kaa mkao wa kisafari safari za majuu, Nimepanda mbegu DECI wakati wa mavuno nitarekebisha hizi $ 600
Kaa mkao wa kisafari safari za majuu, Nimepanda mbegu DECI wakati wa mavuno nitarekebisha hizi $ 600
Mwanahawa , angalia sana utapoteza hizo USD 300 zako... hamna kitu hapo, uko dunia ya tatu kipato chini ya USD 1, processing fee USD 300. Think twice, eti upatiwe ticket na nyumba ya kuishi kule..... Barua kama hizi zimekuwapo miaka mingi na zitaendlea kuwapo... Be careful ni Wizi Mtupu!!!jamani, naomba nielekezwe namna ya kuipata hizo fomu mimi ninazo hizo dola 300 na passport ninayo pia
Teh teh teh Shy best Tanzania....haya ni matusi
Kamanda naona kweli umeikomalia hii issue.... Jamaa yuko kibaigwa sahizi anadadalia mahindi akitoka hapo anakwenda kupima ardhi yake kujiandaa na uranium...Aiseeeeeeeeeeee!
Mradi my foot!..hii sledi haifungwi tu!!